Makala ya TanzaniaDaima 'Udini wa kijinga...' haina mashiko!

kweli wewe ni mgagagigikoo... mwisho utasema anayeongelea umaskini ndio maskini, anayeongelea wizi ndiye mwizi, anayeongelea ukimwi ndiye mkimwi, anayeongelea ushoga ndiye shoga

what a shallow way to analyse deper stuff

keep it up coz if i say pull up your socks utasema umeongelea socks basi na wewe ni soksi
kwa swala la udini au racism ni tofauti na unavyowaza, UNAHITAJI KUWA MDINI KWANZA ILI UWEZE KUTAMBUA KAMA KUNA UDINI KWENYE JAMII INAYOKUZUNGUKA, wapagani, watu wa dini za asili, wahindu, ethiests nao waongelee udini gani, mi naamini udini unaanza na wewe kwanza kisha ndio unaweza kutambua wadini wengine....
yah kama unafahamu maana ya wagagagigikoko utatambua sio mimi tu bali ni watz wote...
 
kwa swala la udini au racism ni tofauti na unavyowaza, UNAHITAJI KUWA MDINI KWANZA ILI UWEZE KUTAMBUA KAMA KUNA UDINI KWENYE JAMII INAYOKUZUNGUKA, wapagani, watu wa dini za asili, wahindu, ethiests nao waongelee udini gani, mi naamini udini unaanza na wewe kwanza kisha ndio unaweza kutambua wadini wengine....
yah kama unafahamu maana ya wagagagigikoko utatambua sio mimi tu bali ni watz wote...
kwenye post uliyoquote nimesema wewe kweli mgagagigikoko... so si kwamba sielewi unless hatukusoma historia (which to me is the most important subject ahead of all, followed by literature ingawa mie nimesoma sayasnsi ukubwani)

zaidi ya ugagaigigikoko post yako haina mashiko... full denial and probably your next ID should be deny all

stick with what you do best... unilateral thinking that udini ni uislam na ukristu... hata upanag waweza kuwa udini endapo hotuma na kasumba za chuki dhidi ya walio na dini zitakuwepo... NDUGU YANGU NAOMBA UELEWE KWAMBA EVERYTIME I WRITE ABOUT UDINI ALIOZUNGUMZIA MWANAKIJIJI NAUITA UDINI WA KIJINGA.... NA YEYE KAUFNANISHA NA POMBE, ONCE YOU UNDERSTAND THAT UTAJUA KWAMBA UNACHONG'ANG'ANIA SICHO NINACHOMAANISHA, LAKINI AS USUAL WE ARE SO FAST KUDANDIA TRENI KWA MBELE NA KUHALALIOSHA KWA TII-TII

done and dusted with closed circuit
 
Ingekuwa poa kama aerticle ya Mwanakijiji ingewekwa hapa. Otherwise itakuwa vigumu kuchangia kama alivyofanya Magobe T.
 
Mogobe T: nina swali hii post ndefu ndiyo kitu MMM ameandika ama ni mtazamo wako wa kitu MMM ameandika?
 
Ingekuwa poa kama aerticle ya Mwanakijiji ingewekwa hapa. Otherwise itakuwa vigumu kuchangia kama alivyofanya Magobe T.

Mkuu, cheki kwenye hizo posts za hapo juu kuna mwanaJF mmoja ameiweka. Nadhani amesema kama 'Makala ya M.M. Mwanakijiji fungua hapa...'. Cheki tu utaona.
 
Sijasoma Article ya Mkuu..... Lakini my Comment kuhusu this so Called Udini; To me is just the stupidity of the few who will capitalise on anything as the means to a certain end. Mfano watu hao hao kama leo wote tukiwa dini moja basi itakuwa kabila; wote tukiwa kabila moja basi wataingia kwenye maumbile; Therefore there is no Cure with such people wenye upeo mfupi wa mawazo..... unfortunately hao watu tunao kwenye every walk of life.. If we give them our time and energy leo tutakuwa tunatibu udini; kesho ukabila; keshokutwa who knows....

The only thing is to learn to live with our differences, and see people based on their characters. Religion and tribes should not be an issue.

Personally I think its not such as issue yet but few people deliberately or not they might be turning it into an issue. Why Highlight our differences, in the eyes of our government, society we should be the same.

tatizo la wapumbavu(ignorant) people kama wewe ni ukweli kwamba, hamnuwezo wa kuuona ukweli, mkiuona hamuukubali na mkiukubali mnajaribu kuuficha. Ni mbumbumbu na mtu mwenye agenda mbaya kwa taifa hili yule anayepinga uwepo wa mgawanyiko wa kidini katika nchi hii. na huo ujinga haijlishi ni nani au anacheo gani katika jamii ila kama anapingana na hili anabaki kuwa mjinga.
tatizo letu waTZ ni kwamba,,, wale wanao-practise ukabila na udini wala hawalaumiwi, ila wale wenye COURAGE ya kusema kwamba watu wana-pracise UDINI NA UKABILA ndio wanaoonekana wabaya na kufanywa kuwa wao ndio wadini na wakabila.
Binafsi naamini kuwa, jamii yoyote inayojitambua, ndio inayoweza kutatua matatizo yanayoikabili. na moja kati ya sifa za kujitambua ni kukubali ujinga(mapungufu) uliyonayo. na jamii inayojiendesha kwa kujidanganya na kupuuzia matatizo, basi haina njia ya kuweza kujikomboa milele.
lazima tukubali,,, waTZ katika hili la udini tumeshapotoka, chuki zimeshaanza kujengeka miongoni mwetu(hata humu JF ushahidi upo wa jinsi watu walivyo extremists).Tunatakiwa tuchukue hatua sasa ili kulitokomeza hili, na njia rahisi ya kufikia mafanikio katika hili ni kuukubali ukweli ili tujue tunajipanga vipi.
kuna ushahidi mwingi na wa wazi kabisa katika uchaguzi uliopita kuhusu udini ulivyochangia matokeo yaliyopatikana. tatizo lilianzia kanisani(hususan katoliki) likaenea kote mpaka misikitini na mwisho likafika kwa wapiga kura na jamii kwa ujumla.
hatukustahili kufika hapo, ila ukweli ndio huo kuwa hapo ndipo tulipo... ujinga na upumbavu wa kutokulikubali hili,, itakuwa hatuitendei haki nchi yetu na sisi wenyewe na vizazi vyetu,
 
1. Anajaribu kutuaminisha udini upo - kati ya Wakristo na Waislamu - na anajenga hoja kuwa makundi haya mawili yalipiga kura kidini. Ana data au anafikiria hivyo?

2. Anajenga hoja pia Waislamu waliamua kutumia udini baada ya kuona Wakristo wakitumia makanisa kuwanadi wagombea wao (Wakristo). Ana data pia kwa hili? Mfano, Kanisa gani, lini na yaliyosemwa kuhusu hao wagombea yalikuwa yapi? Vinginevyo M.M. Mwanakijiji naye anaanza kuwa mpiga debe wa udini.

3. Nijuavyo mimi udini ni wakati mtu anapopata haki zake za msingi kama ajira, elimu, afya na huduma nyingine za jamii hadi hapo tu anapoonesha ni wa dini fulani.

4. M.M. Mwanakijiji amesahau mchango wa vyombo vya habari katika kuwajengea wananchi wa kawaida dhana ya kile anachokiita 'udini wa kijinga...'

5. Binafsi naamini Tanzania hakuna udini ila kunajengeka imani ya uadui wa kidini (religious conflict) kati ya Uislamu na Ukristo... target likiwa hasa dhidi ya Kanisa Katoliki. Nasema hili maana mihadhara mingi ambayo nimepata bahati kuhudhuria maudhui yake ni hayo. Pia kuna mabishano ya kidini Kariakoo karibu kila siku kati ya vijana Wailsamu na Wakristo - Waislamu wakiwatuhumu Wakristo kuwa walimpigia kura Dr Slaa na Wakristo, kwamba wamekuwa wakipendelewa kiajira na kielimu na huduma nyingine za jamii. Mawazo ya M.M. Mwanakijiji yanashabihiana na hayo.

Na ule udini anaouzungumzia JK je???
 
Hata mimi nilishangaa sana niliposoma makala hiyo ya mwanakijiji kwamba nchi imegawanyika kundi la waislamu na wakristo bila hata kutoa mifano ya hoja yake. Ni kama mtu aliye mbali na Tanzania kasikia hadithi za watu au kasoma makala kwenye vyombo vya habari kisha kaunga mkono hoja ya kuwepo udini nchini.

Baadhi ya watu naona wameshasombwa na upepo wa kidini bila kufahamu wamepotea. Ni wao wapiga ngoma ya udini wanaosumbuliwa na udini sio sisi tunaoipenda Tanzania mbona hatuoni jambo hilo. Kama hili lilijitokeza wakati wa kutafuta madaraka ya ubunge na udiwani basi haukuwa udini bali baadhi ya watu walitumia mwamvuli wa dini kujipatia uhalali wa kuchaguliwa. Na kama lilikuwepo sidhani kama kama kuna majimbo zaidi ya 5 nchini kati ya majimbo 239. Tupeni mifano ya majimbo ambayo udini ulijitokeza ili wanaotoka katika majimbo hayo watuambie ukweli wa mambo.

Ipo tofauti kubwa kati ya wapiga kura kupiga kura kwa misingi ya kidini na mgombea ubunge au udiwani kuhamasisha wapiga kura wampatie kura kidini. Udini ni mfumo ambapo wananchi hawaangalii tena sifa zingine bali wanaulizana kwanza mgombea wa dini yake.

Kama udini ungekuwepo usingebaki kuwa wa kipindi cha siasa za uchaguzi tu ungeendelea hata katika maisha ya kawaida ya watanzania.
 
tatizo letu waTZ ni kwamba,,, wale wanao-practise ukabila na udini wala hawalaumiwi, ila wale wenye COURAGE ya kusema kwamba watu wana-pracise UDINI NA UKABILA ndio wanaoonekana wabaya na kufanywa kuwa wao ndio wadini na wakabila.

Well said mkuu!
 
Hapa inabidi tujiulize kuwa haya aliyoyazungumza MMM je yalitokea uchaguzi wa 2005? kama hayakutokea kwa nini yanatokea sasa? Je ni kweli ambao hawakuwa wadini 2005 wamekuwa wadini 2010?
 
Kaka kiiza uko pande za kawe nini? Siku ya tar.23/24 pale kawe nyuma ya oilcom nilisikiliza mjadala,mimi nilikonkuludi kuwa watu wanataka kujitoa mhanga,hawana walitakalo duniani! Ukisikia mkuu wa mhadhara anasema cuf ndo chama pekee cha upinzan na cdm ni kikundi cha dini ,hapo unategemea nn? Tangu sa9-mbili usiku ni chadema,ukristo,ukristo,cdm,serikali ya wakristo,hawawapi haki waislam,yan mengi mpaka aibu! Nkajiuliza kwani serikali ya leo inaongozwa na mtu wa imani gani? MMM unapigana kuonesha udini upo ili tukishajua upo what next,tuifanye Tz nigeria au? Waandishi kama MMM Nawaheshimu lakini naanza kuwaweka kwenye "doubted list" kabla sijaanza kuwahamishia kapuni. Naomba tujue kuwa udini upo,sawa. Wengine tuseme udini haupo,sawa. Mwishowe tuungane kwanza kuzikomboa rasilimali za taifa alaf ndo baadae tutimuane kwa udini mnaoutaka,sawa wakuu!
 
Sijasoma Article ya Mkuu..... Lakini my Comment kuhusu this so Called Udini; To me is just the stupidity of the few who will capitalise on anything as the means to a certain end. Mfano watu hao hao kama leo wote tukiwa dini moja basi itakuwa kabila; wote tukiwa kabila moja basi wataingia kwenye maumbile; Therefore there is no Cure with such people wenye upeo mfupi wa mawazo..... unfortunately hao watu tunao kwenye every walk of life.. If we give them our time and energy leo tutakuwa tunatibu udini; kesho ukabila; keshokutwa who knows....

The only thing is to learn to live with our differences, and see people based on their characters. Religion and tribes should not be an issue.

Personally I think its not such as issue yet but few people deliberately or not they might be turning it into an issue. Why Highlight our differences, in the eyes of our government, society we should be the same.

tatizo la wapumbavu(ignorant) people kama wewe ni ukweli kwamba, hamnuwezo wa kuuona ukweli, mkiuona hamuukubali na mkiukubali mnajaribu kuuficha. Ni mbumbumbu na mtu mwenye agenda mbaya kwa taifa hili yule anayepinga uwepo wa mgawanyiko wa kidini katika nchi hii. na huo ujinga haijlishi ni nani au anacheo gani katika jamii ila kama anapingana na hili anabaki kuwa mjinga.
kuna ushahidi mwingi na wa wazi kabisa katika uchaguzi uliopita kuhusu udini ulivyochangia matokeo yaliyopatikana. tatizo lilianzia kanisani(hususan katoliki) likaenea kote mpaka misikitini na mwisho likafika kwa wapiga kura na jamii kwa ujumla.

Kwanza kabisa asante kwa kuniita ignorant na mpumbavu.... thanks a lot... You say tomato I say tomato.... You call it Udini I call it Upuuzi na Upumbavu wa wachache..... When You call it Udini you generalise the whole society of the hatred kati ya Christians na Muslims.... wakati mimi ninasema ni some pockets of society ambazo they use dini as a Tool wapo wengi everywhere in the world (Osama et al) they are using religion as Tool to get their means.

Now your point ya kuwapa courage watu wanaotwambia kwamba hii issue ipo (Really.......?) Just kwenda kwenye vyombo vya habari na kusema kwamba udini upo without coming with solution tuwape courage???? They are just giving promo to extremist... (To me extremist wanaotishia amani they belong in Jail.... So instead of talking the talk, they should name them and act on it, these mere talking inaongezea ufa na haijengi kitu.

Na wewe unavyosema udini ulivyoanzia kanisani (Generalising Again)... Je ndio unajenga..... Is this the solution... Au una cook the debate about hatred. Mere talking and shouting wont help..... And am still saying this problem is not in the faith its in peoples character, these people are sick and are blinded by their faith and am still saying ni wapuuzi wachache wanao brainwash the mass.
 
Kwanza kabisa asante kwa kuniita ignorant na mpumbavu.... thanks a lot... You say tomato I say tomato.... You call it Udini I call it Upuuzi na Upumbavu wa wachache..... When You call it Udini you generalise the whole society of the hatred kati ya Christians na Muslims.... wakati mimi ninasema ni some pockets of society ambazo they use dini as a Tool wapo wengi everywhere in the world (Osama et al) they are using religion as Tool to get their means.

Now your point ya kuwapa courage watu wanaotwambia kwamba hii issue ipo (Really.......?) Just kwenda kwenye vyombo vya habari na kusema kwamba udini upo without coming with solution tuwape courage???? They are just giving promo to extremist... (To me extremist wanaotishia amani they belong in Jail.... So instead of talking the talk, they should name them and act on it, these mere talking inaongezea ufa na haijengi kitu.

Na wewe unavyosema udini ulivyoanzia kanisani (Generalising Again)... Je ndio unajenga..... Is this the solution... Au una cook the debate about hatred. Mere talking and shouting wont help..... And am still saying this problem is not in the faith its in peoples character, these people are sick and are blinded by their faith and am still saying ni wapuuzi wachache wanao brainwash the mass.

Ok Ok make it simple let me have a courage to mention wadini wakubwa halafu tuone kama tunaweza kuwapeleka jela na nchi ikawa sala are u kidding mkuu?

1. Kardinali Pengo ni mdini kwa ku-sapport waraka wa kikatoliki kumchagua mkatoliki..therefore wale walioandaa ni wadini..unaweza kumfunga huyu nchi ikabaki salama?

2. Issa ponda ni mdini kwa kuandaa mwongozo wa kiislam na kuwataka waislamu kuwachagua muislam ..unaweza kuwafunga hao na nchi ikabaki salama?

Majibu ni NO...what to do? kuwapuuza na kuwaanda wananchi kuwafahamu ok..thats what this goverment is trying to do..
 
Na ule udini anaouzungumzia JK je???

1. Kama umesoma vizuri kwenye post yangu nimesema wanasiasa na vyombo vya habari ndio tatizo - hawa ndio wanaohamasisha huo udini usioonekana tuamini upo kwa maslahi yao. ANgalia uchaguzi mkuu ukikaribia majungu yanakuwa mengi - kwa nini? Si unakumbuka pia mara tu baada ya kuchaguliwa rais, Jakaya Kikwete alienda mkoa wa Mwanza. Huko kulikuwa na mtu aliyetoa documentary kuhusu mapanki na Kikwete alikanusha hakuna mapanki (watu wa Kanda ya Ziwa hawali mapanki) na kwamba huyo film maker ni mwongo. Wana CCM walipanga maandamano kumwunga rais na kuilaani vikali hiyo documentary na baadhi ya waandishi wa habari waliokuwa wameshojiwa kama Richard Mgamba (Managing Editor wa The Guardian on Sunday) na kuambiwa siyo Mtanzania. Lakini baada ya kusema hayo, watu walianza kusema mapanki hayaliwi tu Kanda ya Ziwa hata Dar es Salaam.

2. Unaposema Tanzania kuna udini ina maana unadai at least 50% ya Watanzania wana'practice' huo udini na watu wakija kutoka nchi yoyote ile lazima waone upo na kama upo ni lazima ujioneshe kwenye mchakato wa kudai haki na kupata huduma za jamii. Hapa hakuna kitu cha namna hiyo kwenye kudai haki na huduma za jamii, kilichopo ni watu wachache wanaolishwa propaganda kueneza chuki na ni hawa ndio wachangiaji wengine wanawasema. Hawa ni waganga njaa, ni watu "maskini" na wajinga ('udini wa kijinga...' wa M.M. Mwanakijiji) unajionesha kwa watu kama hawa. Lakini huu siyo udini - udini unakuwa kwenye mfumo wa utawala wa nchi na au kwenye civil society. Hawa waganga njaa wanaweza kuthibitiwa na serikali yenyewe kwa kuwaonya. Lakini kama watawala wana maslahi na hao waganga njaa haiwezekani kuwakemea. Kama nilivyosema projection - ni kuhamisha matatizo yako na kuyaweka kwa mtu mwingine au kuyaona yako kwa mtu mwingine. Ndivyo waganga njaa wanavyofanya kwenye mihadhara - kuwalaumu ikiwa pamaoja na kuwakashfu watu wengine.
 
Ok Ok make it simple let me have a courage to mention wadini wakubwa halafu tuone kama tunaweza kuwapeleka jela na nchi ikawa sala are u kidding mkuu?

1. Kardinali Pengo ni mdini kwa ku-sapport waraka wa kikatoliki kumchagua mkatoliki..therefore wale walioandaa ni wadini..unaweza kumfunga huyu nchi ikabaki salama?

2. Issa ponda ni mdini kwa kuandaa mwongozo wa kiislam na kuwataka waislamu kuwachagua muislam ..unaweza kuwafunga hao na nchi ikabaki salama?

Majibu ni NO...what to do? kuwapuuza na kuwaanda wananchi kuwafahamu ok..thats what this goverment is trying to do..

First of all have you got this evidences???? Kama ndio unaweza ukaweka wazi word by word walichokisema (sio kutoa maneno out of context) na kama ni kweli hawa watu walisema hayo (Mchague Fulani because of their faith, na sio mambo mengine) no matter ni kina nani basi ni cancer katika Jamii; kwahiyo tukimaliza hapo Je tutasema kwamba kuna watu walisema tamchagua fulani sababu ya kabila lake??? Je wale wanaosema tamchagua mtu sababu ana sura mbaya au nzuri?????

To me watu wote ulimwenguni ambao fikra zao ni ndogo kiasi kwamba wanaweza wakawa brainwashed kwamba dini ina discriminate they are fools. and people who are preaching hayo ndio culprits wenyewe. Na solution is up to Religious people and leaders to preach Love na sio wanasiasa kuingilia, hapa ndio hata wale neutral they might start kuona upendeleo
 
First of all have you got this evidences???? Kama ndio unaweza ukaweka wazi word by word walichokisema (sio kutoa maneno out of context) na kama ni kweli hawa watu walisema hayo (Mchague Fulani because of their faith, na sio mambo mengine) no matter ni kina nani basi ni cancer katika Jamii; kwahiyo tukimaliza hapo Je tutasema kwamba kuna watu walisema tamchagua fulani sababu ya kabila lake??? Je wale wanaosema tamchagua mtu sababu ana sura mbaya au nzuri?????

To me watu wote ulimwenguni ambao fikra zao ni ndogo kiasi kwamba wanaweza wakawa brainwashed kwamba dini ina discriminate they are fools. and people who are preaching hayo ndio culprits wenyewe. Na solution is up to Religious people and leaders to preach Love na sio wanasiasa kuingilia, hapa ndio hata wale neutral they might start kuona upendeleo

Oh my lord mr evidence are you there hata RA anasema yeye si fisadi kwa kuwa hakuna evidence au siyo lakini kila mwenye common sense anajua kuna kitu kimejificha kwenye biashara na kazi za RA au siyo?

Hao niliowataja wameandaa documents (evidences tena for public consumptions) zinazoonyesha waumini wao wachague vipi? ukisoma between the lines utaona wameficha nini?

Of course dawa ziko mbili tu

a) Kataza wasishirika katika siasa nje ya vyama vya siasa

b) ruhusu religiuos parties ambazo zitaapa kuhudumia wa Tanzania ...christian whetever party or islamic whetever party lakini inahudumia wabongo wote watafute kura kama kawaida kuliko mazingira ya kinafiki kama sasa..

That is how I perceive to be evalasting solution waruhusiwe kabisa halafu wananchi wataamua wawachague au wawaache kwenye manifesto zao wataeleza watawa accomodate vipi wasio na dini?
 
Ndio maana nimesema ni "udini wa kijinga"....

Udini ni udini

Ujinga ni ujinga

sijaona uhusiano wake mkuu...kwenye article yako

Mjinga ana elimika

Mdini akiambiwa kuna udini...ataangalia dini gani inafaidika..akiona yake hatasema hakuna udini
 
Ndio maana nimesema ni "udini wa kijinga"....

Mwanakijiji,

Nakupongeza kwa ujasiri wa kusema kile ulichosema. Hakuna hoja zaidi ya sentiments zilizopo sasa hapa JF kuhusu kutetea au kushabikia viongozi au vyama vya siasa kwa kutumia misingi ya dini.
 
Back
Top Bottom