wale waliotumwa na Nape humu jukwaani wala tusiwajibu
1) Fair Enough
2) Kuna uhusiano upi kesi ya madai na kesi ya kuvuruga amani? moja ni criminal case na moja ni civil case. Hapo amechemsha ana "compare" oranges na apples.
3) Sawa na namba mbili hapo juu.
4) Kesi tofauti kabisa na kama unaona wapo na sheria hazijachukuliwa unangoja nini kuwashitaki? Ulikatazwa?
5) EPA, looo! soma hapa: KESI YA EPA: Maranda, Farijala wafungwa miaka 5
6) Kesi za manunuzi maarufu hizi hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-kesi-dhidi-ya-balozi-mahalu-na-wenzake.html na hii hapa: Shahidi amlipua Dk. Msabaha kesi ya Bosi wa Richmond na pitia TAKUKURU ukaone zingine kibao,si zote zinazotangazwa.
7) Macho ya kengeza? hivi mtu mzima unatolea mfano kilema cha mtu kama vile ameomba? huu ni upunguwani wa hali ya juu, kuna nyuzi mwanakijiji alianza kumkebehi aliye na matatizo ya akili humu humu JF leo anatolea mfano kwa macho kengeza kama yule mwenye nayo kapenda hivyo au kajiumba mwenyewe? Hata Mwenyekiti wa chama kimoja cha siasa hapa nchini ni kengeza lakini ni lini akatolewa mfano kwa kilema chake? Au anataka kumdhalilisha?
Hao aliowataja wote ni pumba tu na chuki binafsi. Kutaja majina bila kuonesha makosa yao ndio nini?
Fair enough. Everybody is entitled to their opinion - manure or not, notwithstanding.
Hata jambazi, malaya, nk....ukiwasakama against their immoral behaviours - wana point kali hao pengine kuzidi hata malaika!
1) Fair Enough
2) Kuna uhusiano upi kesi ya madai na kesi ya kuvuruga amani? moja ni criminal case na moja ni civil case. Hapo amechemsha ana "compare" oranges na apples.
3) Sawa na namba mbili hapo juu.
4) Kesi tofauti kabisa na kama unaona wapo na sheria hazijachukuliwa unangoja nini kuwashitaki? Ulikatazwa?
5) EPA, looo! soma hapa: KESI YA EPA: Maranda, Farijala wafungwa miaka 5
6) Kesi za manunuzi maarufu hizi hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-kesi-dhidi-ya-balozi-mahalu-na-wenzake.html na hii hapa: Shahidi amlipua Dk. Msabaha kesi ya Bosi wa Richmond na pitia TAKUKURU ukaone zingine kibao,si zote zinazotangazwa.
7) Macho ya kengeza? hivi mtu mzima unatolea mfano kilema cha mtu kama vile ameomba? huu ni upunguwani wa hali ya juu, kuna nyuzi mwanakijiji alianza kumkebehi aliye na matatizo ya akili humu humu JF leo anatolea mfano kwa macho kengeza kama yule mwenye nayo kapenda hivyo au kajiumba mwenyewe? Hata Mwenyekiti wa chama kimoja cha siasa hapa nchini ni kengeza lakini ni lini akatolewa mfano kwa kilema chake? Au anataka kumdhalilisha?
Hao aliowataja wote ni pumba tu na chuki binafsi. Kutaja majina bila kuonesha makosa yao ndio nini?
Kuna msemo wa kiswahili unaswihi sana kujibu hoja zako nao ni huu" APENDAE, CHOGO HUONA KENGEZA" Faizyfox kinachokusumbua wewe ni mahaba uliyo nayo juu ya CCM na mafisadi wake so huwezi ona ukiukwaji dhahir wa sheria unaofanya na CCM kwa kuwatumia watendaji wa serikali!
1) Fair Enough
2) Kuna uhusiano upi kesi ya madai na kesi ya kuvuruga amani? moja ni criminal case na moja ni civil case. Hapo amechemsha ana "compare" oranges na apples.
3) Sawa na namba mbili hapo juu.
4) Kesi tofauti kabisa na kama unaona wapo na sheria hazijachukuliwa unangoja nini kuwashitaki? Ulikatazwa?
5) EPA, looo! soma hapa: KESI YA EPA: Maranda, Farijala wafungwa miaka 5
6) Kesi za manunuzi maarufu hizi hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-kesi-dhidi-ya-balozi-mahalu-na-wenzake.html na hii hapa: Shahidi amlipua Dk. Msabaha kesi ya Bosi wa Richmond na pitia TAKUKURU ukaone zingine kibao,si zote zinazotangazwa.
7) Macho ya kengeza? hivi mtu mzima unatolea mfano kilema cha mtu kama vile ameomba? huu ni upunguwani wa hali ya juu, kuna nyuzi mwanakijiji alianza kumkebehi aliye na matatizo ya akili humu humu JF leo anatolea mfano kwa macho kengeza kama yule mwenye nayo kapenda hivyo au kajiumba mwenyewe? Hata Mwenyekiti wa chama kimoja cha siasa hapa nchini ni kengeza lakini ni lini akatolewa mfano kwa kilema chake? Au anataka kumdhalilisha?
Hao aliowataja wote ni pumba tu na chuki binafsi. Kutaja majina bila kuonesha makosa yao ndio nini?
Sasa naelewa kwa nini wanakuogopa, unaakili sana, ila naona maisha yako hapa yatakuwa mafupi sana maana ukweli humu ni wa upande ule tu.
Nakiri, Mungu amekunyima akili.
mshangiliaji huyo lazima awepo, zinahakikiwa na Nape kabla ya kulipwa. Karibu najua ni njaa tu ikiisha utatumia akili yako.
hakuna anayemwogopa nami nataka aendelee kuwepo, wala sitaki kumwona mtu akimbugudhi. mwacheni dada/kaka FaizaFoxy adunde si unajua ajira bongo ni Nape
Vipi? hoja zimekushinda? tafadhali jibu hoja achana na njaa yangu. Unanini weyeee khaaa!
Chief Mkwawa umenena na umesikika, tungekuwa na machifu kama wewe wawili watatu humu, mambo yangekuwa swaaafi. Jee, unajuwa kuwa babu yake Kikwete alikuwa Chief wa ukweli?
Usidhalilishe machief dada/kaka
Hili nalo neno tuwaache wapite na iginorance zao kama vile hatujawaona. The good thing ni kwamba ile Tsh 2000 yao ya per day wataipata so hatutaathiri mapato yao. Nimeambiwa determinant ya pay ni posts sio responses so waendelee kupost upupu wao na sisi pia tutaendelea kuupotezea upupu wao-win win situation.
Mimi nimezijibu hoja, wewe unaongea yangu, unanini babuwee, hebu jibu hoja basi, kama huna basi zimekuingia hizo hoja na unakubaliana nazo.
Ni lini mwanakijiji ameanza kutete mabaya?...duh
kupelekwa kwa Mbowe mahakamani siyo issue tena..it was a right decision..mambo ya fairness ni kupindisha sheria
Umenena mwana, kwa kuongezea, hata wauza malaya, wavunja ndoa za watu na wao huweza kuwa na point "kuzidi hata malaika!" pia au sio?