Makala kwani pikipiki unazogawa leo ili mshinde udiwani???????

Man 4 M4C

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
743
114
Mh naibu waziri naona umeamua kugawa jepikipiki kwa vijana wako ili mshinde udiwani kata ya Mtibwa,sisi tunahoji uhalali wa kutoa zawadi hizo wakati huu wakati uchaguzi wa diwani umetimia. kumbuka Igunga kilichotokea na wewe unarudia hicho hicho.


Pia kumbuka kuwa wananchi wa Mvomero hawakukuchagua kuwapa pikipiki watu 4 tena ndugu zako,wanataka uwanja wao wa mpira wa hembeti ambao umekuwa mashine ya kusaga alizeti,wanataka shamba lao la mkindo analolima mkapa,wanataka haki zao kiwandani,wanataka viongozi wao wa kuchaguliwa kila kijiji sio wa kukaimishwa,wanataka kujua nani anavuna mitiki yao,wanataka kujua hatima ya wastaafu na sio jezi na mipira tena inayopasuka pasuka mwezi mmoja.

Pia wanataka kujua pesa zao za mfuko wa jimbo zipo wapi?
 
Mh naibu waziri naona umeamua kugawa jepikipiki kwa vijana wako ili mshinde udiwani kata ya Mtibwa,sisi tunahoji uhalali wa kutoa zawadi hizo wakati huu wakati uchaguzi wa diwani umetimia. kumbuka Igunga kilichotokea na wewe unarudia hicho hicho.


Pia kumbuka kuwa wananchi wa Mvomero hawakukuchagua kuwapa pikipiki watu 4 tena ndugu zako,wanataka uwanja wao wa mpira wa hembeti ambao umekuwa mashine ya kusaga alizeti,wanataka shamba lao la mkindo analolima mkapa,wanataka haki zao kiwandani,wanataka viongozi wao wa kuchaguliwa kila kijiji sio wa kukaimishwa,wanataka kujua nani anavuna mitiki yao,wanataka kujua hatima ya wastaafu na sio jezi na mipira tena inayopasuka pasuka mwezi mmoja.

Pia wanataka kujua pesa zao za mfuko wa jimbo zipo wapi?



Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike waachane na hili li-serikali la ccm MAJAMBAZI/MAFISADI/MANYANG'ANYI.
 
Mh naibu waziri naona umeamua kugawa jepikipiki kwa vijana wako ili mshinde udiwani kata ya Mtibwa,sisi tunahoji uhalali wa kutoa zawadi hizo wakati huu wakati uchaguzi wa diwani umetimia. kumbuka Igunga kilichotokea na wewe unarudia hicho hicho.


Pia kumbuka kuwa wananchi wa Mvomero hawakukuchagua kuwapa pikipiki watu 4 tena ndugu zako,wanataka uwanja wao wa mpira wa hembeti ambao umekuwa mashine ya kusaga alizeti,wanataka shamba lao la mkindo analolima mkapa,wanataka haki zao kiwandani,wanataka viongozi wao wa kuchaguliwa kila kijiji sio wa kukaimishwa,wanataka kujua nani anavuna mitiki yao,wanataka kujua hatima ya wastaafu na sio jezi na mipira tena inayopasuka pasuka mwezi mmoja.

Pia wanataka kujua pesa zao za mfuko wa jimbo zipo wapi?

Kama watu wenyewe ndugu zake tatizo liko wapi? Tangu lini kumpa ndugu yako zawadi ikawa rushwa?
 
Kama watu wenyewe ndugu zake tatizo liko wapi? Tangu lini kumpa ndugu yako zawadi ikawa rushwa?
Hata Mimi niliposoma hapa kwenye ndugu kupewa nimeshapoteza point Ngoja nichangie sehemu nyingine. By Man 4 M4C Mh naibu waziri naona umeamua kugawa jepikipiki kwa vijana wako ili mshinde udiwani kata ya Mtibwa,sisi tunahoji uhalali wa kutoa zawadi hizo wakati huu wakati uchaguzi wa diwani umetimia. kumbuka Igunga kilichotokea na wewe unarudia hicho hicho.Pia kumbuka kuwa wananchi wa Mvomero hawakukuchagua kuwapa pikipiki watu 4 tena ndugu zako,wanataka uwanja wao wa mpira wa hembeti ambao umekuwa mashine ya kusaga alizeti,wanataka shamba lao la mkindo analolima mkapa,wanataka haki zao kiwandani,wanataka viongozi wao wa kuchaguliwa kila kijiji sio wa kukaimishwa,wanataka kujua nani anavuna mitiki yao,wanataka kujua hatima ya wastaafu na sio jezi na mipira tena inayopasuka pasuka mwezi mmoja.Pia wanataka kujua pesa zao za mfuko wa jimbo zipo wapi?
 
Kama watu wenyewe ndugu zake tatizo liko wapi? Tangu lini kumpa ndugu yako zawadi ikawa rushwa?


Hata Mimi APo kwenye undugu tena nshapoteza point Ngoja nikachangie kungineko





By Man 4 M4C
Mh naibu waziri naona umeamua kugawa jepikipiki kwa vijana wako ili mshinde udiwani kata ya Mtibwa,sisi tunahoji uhalali wa kutoa zawadi hizo wakati huu wakati uchaguzi wa diwani umetimia. kumbuka Igunga kilichotokea na wewe unarudia hicho hicho.


Pia kumbuka kuwa wananchi wa Mvomero hawakukuchagua kuwapa pikipiki watu 4 tena ndugu zako,wanataka uwanja wao wa mpira wa hembeti ambao umekuwa mashine ya kusaga alizeti,wanataka shamba lao la mkindo analolima mkapa,wanataka haki zao kiwandani,wanataka viongozi wao wa kuchaguliwa kila kijiji sio wa kukaimishwa,wanataka kujua nani anavuna mitiki yao,wanataka kujua hatima ya wastaafu na sio jezi na mipira tena inayopasuka pasuka mwezi mmoja.

Pia wanataka kujua pesa zao za mfuko wa jimbo zipo wapi?
 
Back
Top Bottom