Man 4 M4C
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 743
- 114
Mh naibu waziri naona umeamua kugawa jepikipiki kwa vijana wako ili mshinde udiwani kata ya Mtibwa,sisi tunahoji uhalali wa kutoa zawadi hizo wakati huu wakati uchaguzi wa diwani umetimia. kumbuka Igunga kilichotokea na wewe unarudia hicho hicho.
Pia kumbuka kuwa wananchi wa Mvomero hawakukuchagua kuwapa pikipiki watu 4 tena ndugu zako,wanataka uwanja wao wa mpira wa hembeti ambao umekuwa mashine ya kusaga alizeti,wanataka shamba lao la mkindo analolima mkapa,wanataka haki zao kiwandani,wanataka viongozi wao wa kuchaguliwa kila kijiji sio wa kukaimishwa,wanataka kujua nani anavuna mitiki yao,wanataka kujua hatima ya wastaafu na sio jezi na mipira tena inayopasuka pasuka mwezi mmoja.
Pia wanataka kujua pesa zao za mfuko wa jimbo zipo wapi?
Pia kumbuka kuwa wananchi wa Mvomero hawakukuchagua kuwapa pikipiki watu 4 tena ndugu zako,wanataka uwanja wao wa mpira wa hembeti ambao umekuwa mashine ya kusaga alizeti,wanataka shamba lao la mkindo analolima mkapa,wanataka haki zao kiwandani,wanataka viongozi wao wa kuchaguliwa kila kijiji sio wa kukaimishwa,wanataka kujua nani anavuna mitiki yao,wanataka kujua hatima ya wastaafu na sio jezi na mipira tena inayopasuka pasuka mwezi mmoja.
Pia wanataka kujua pesa zao za mfuko wa jimbo zipo wapi?