Makala hii katika The African ya leo ni kiboko

Ni masikitiko makubwa kuona watu wanaoapa kulinda haki za mwananchi wanakuwa Mabubuzela wakati haki ya msingi ya binadamu inavunjwa. Ubabe wa mitulinga hausaidii yeyote bali unaogeza maumivu kwenye kidonda.Ni lini hao waheshimiwa kama wanavyotaka kuitwa watakuwa waheshimiwa wa dhati? Serikali ni mkataba kati ya watawala na watawaliwa,ikifika wakati watawaliwa wakahoji serikali kama haikidhi mahitaji wana haki ya kupata majibu sahihi.Ila kama watawala wameshindwa kujua nani aliewaandika kazi ,ni huyo mlalamikaji yaani mwananchi.
hawajui wanaloteda kwa hiyo tuwape adhabu uchanguzi ujao
 
Mungu amesikia kilio cha watanzania kwa utawala wao, na ameamua kuacha mambo maovu yaeleweke wazi kwa wananchi wote, na ulimwengu. Lakini viongozi/watawala hawaoni,yawezekana wamenyimwa hekima ya kusoma alama za wakati kwa lengo kuwa wakati wao umekwisha. Ni kweli mh Lema amefanya kazi nzuri kama waziri kivuli mambo ya ndani. Makala ya mwandishi iko makini sana. Ni kweli kabisa kama huna cha kuficha huna haja ya kuogopa. Wakati ni sasa, wakati uta tuambia.
 
Yeah, ni makala nzuri sana iliyoanikwa ukweli ulivyo. Lukuvi alitaka tu aonekane katika runinga akimjibu Lema kwa kutumia hoja ambazo hata yeye mwenyewe haziamini! misingi madhubuti ya haki iko humu nchini na inalindwa na CCM? Huyu mjamaa anazo timamu kweli?

Nakubaliana na mwandishi wa makala kwamba Lukuvi aonyeshe ni misingi gani hiyo ya haki iliyopo inayoshikiza amani hapa nchini. Ufisadi wa kulindana ndiyo msingi mkuu wa haki?

Wanaoandaa midahalo katika runninga naomba mumpambanishe kilaza huyu (akiwa na magamba wengine wenzake) dhidi ya wabunge wengine wa CDM, CUF, NCCR etc katika mada hii tuone iwapo anaweza kufika popote. Alipata ujasiri mle bungeni kwani alijua fika kwamba Wabunge wa CCM, kama kawaida yao, na bila kufikiri, watampigia makofi.

 
SZued ameandika sahihi kabisa! Bahati mbaya sana sisiem wao hawana jipya kwa wananchi wanaongelea Uhuru, Amani, Utulivu na Mshikamano. Sasa bila kuangalia mahali na wakati kila wanapoongea lazima maneneo hayo yatumike kumbe sehemu zingine wanayatumia kinyume. Angalia hata wabunge wake wamejivika u serikali kila akihoji mbunge mwingine wao wanajibu utadhani wote ni mawaziri. Lukuvi kaa ukijua sisiem ndio wachochezi namba 1, nimemsikia Ndugai akihoji mavazi ya CDM leo kwenye mdahalo Dodoma amesahau chama chake kina MAKAMANDA nchi nzima kuanzia tawi hadi taifa hao ni wapiganaji ? ajibu kwanza hilo ndio aulize magwanda ya CDM
 
Nimeisoma makala hiyo na nakubali ni one of his finest opinion article ya mwandishi Sued. hasa kabisa nakubaliana naye na paragraph ile inayosema kwamba yanayotokea sasa hivi Bungeni ni kama kujivua gamba kwa hilo Bunge. Ni kweli kwamba Bunge lilikuwa ni mhuri tu wa serikali iliypopo madarakani na hali hii ndiyo inafanya hali ya nchi kuzorota.

Ni lazima Bunge libadilike, na kwa kuwa gamba limeota sugu kwa muda mrefu, pengine hakuna njia nmyingine isipokuwa hii wanayofanya kina Lema, Wenje & Co. Wananchi wanawaona, wanawasikia na wanawasapoti. Lukuvi analeta siasa zile za kizamani za kuburuzana tu ambazo hazina hoja kabisa kwa wakati uliopo.

Kwa mfano kusema kwamba aliyosema Lema ni uchochezi huku hata AG alikiri kuwa mauaji yanayofanywa na polisi sasa yanazidi na inapaswa kuchunguzwa ni onyesho tosha kwamba Lukuvi ndiyo mchochezi, anataka hali hii ya kutoa roho za Watz unaoifanywa na vyombo vyetu vya usalama iendelee. Sijui akapimwe akili!

.

Nathamani huo mtambo wako ulioshikilia ukamwage mambo pale Mjengoni Dom husiache hata Mbunge mmoja wa CCM alafu namimi uwe umenipa kama hilo huku nammalizia huyu jamaa ambaye anafiki Ikulu ni pango la Mafisadi nadhani hapo ndipo itakuwa mwisho wa huu usanii wa CCM na watu wasijuwa hata kusoma kama Lukuvu.
 
This country bwana! watu kama Lukuvi wako kwa ajili ya masilahi binafsi,watetee nini? kama sio interest zao wanajua wasiposimama kutetea serikali yao m mbovu kula yao itakuwa mwisho! lakini wanajidanganya sana,saa yao inawatick bye kwani saa ya ukombozi wa taifa hili imefika,majeshi yetu ya anga (wabunge cdm) wanafanya kazi nzuri kushambulia ngome zao nyeti na unaposikia wanalalamika ni kwamba wanpigwa penyewe! na bado wakitoka huko sie askari wa miguu tunashambulia kama kawaida(maandamano) mpaka kieleweke! aluta continua.
 
lukuvi akisoma hii makala hawezi kuielewa kamwe

Poteza sana,tena mbali siunajua mashine za kufanyia kazi,kawa text kurespond kwa kuwa ni remote control pasipo kutafakari hotuba ya Lema itapokewa vipi na Wananchi ukizingatia inazungumza ukweli, kichwa kichwa kaingia kuiponda.Matokeo yake kwa kuwa sio THINKER kakurupuka na kuzalisha chuki za Wananchi dhidi ya Chama Cha Mapinduzi.CCM ni ambacho Mwalimu alisema kimekuwa kama KOKOLO [Wavu mkubwa wa kuvulia samaki] unaochukua takataka na samaki.

Hakika kama CCM haina WAVUVI,wa kujua KOKOLO limechukua samaki na takataka,na hivyo kutumia muda huu sasa kutoa takataka na kuibua samaki wanaoitajika kwa Watanzania.Vinginevyo kungangania KOKOLO liendelee kuonekana KOKOLO huku limebeba mchanganyiko wa samaki na uchafu.Ni Mwanzo wa KULIONA KOKOLO kama UCHAFU pia taswira hiyo ya UCHAFU WA KOKOLO litawafanya WAVUVI watupe KOKOLO na Samaki,na hivyo kutafuta KOKOLO JIPYA na uvuvi kuendelea kuwaletea Samaki Watanzania kwa kutumia KOKOLO jipya.
 
Nimeisoma makala hiyo na nakubali ni one of his finest opinion article ya mwandishi Sued. hasa kabisa nakubaliana naye na paragraph ile inayosema kwamba yanayotokea sasa hivi Bungeni ni kama kujivua gamba kwa hilo Bunge. Ni kweli kwamba Bunge lilikuwa ni mhuri tu wa serikali iliypopo madarakani na hali hii ndiyo inafanya hali ya nchi kuzorota.

Ni lazima Bunge libadilike, na kwa kuwa gamba limeota sugu kwa muda mrefu, pengine hakuna njia nmyingine isipokuwa hii wanayofanya kina Lema, Wenje & Co. Wananchi wanawaona, wanawasikia na wanawasapoti. Lukuvi analeta siasa zile za kizamani za kuburuzana tu ambazo hazina hoja kabisa kwa wakati uliopo.

Kwa mfano kusema kwamba aliyosema Lema ni uchochezi huku hata AG alikiri kuwa mauaji yanayofanywa na polisi sasa yanazidi na inapaswa kuchunguzwa ni onyesho tosha kwamba Lukuvi ndiyo mchochezi, anataka hali hii ya kutoa roho za Watz unaoifanywa na vyombo vyetu vya usalama iendelee. Sijui akapimwe akili!

.

Unaposikia wanasiasa wakiongea unatakiwa kuangalia kwanza wapo kwenye mdaraka yao kw amaslahi ya nani. Si wote wapo kwa maslahi ya wapiga kura. Kuna wengine by default wataitetea serikali hata ikiua ndugu zao. Kwao hoja ni kuitetea serikali no matter what.

Ni kweli wabunge wa upinzani wanajitahidi sana kulifanya bunge lifanye kazi ya bunge, but we have to remember that bado linadhibitiwa na CCM. Linatakiwa liwe na wapinzani wa kutosha hapo litaondoa kweli aibu ya kuwa rubber stamp.
 
Nice Article..ila Ndugai na Lukuvi inababidi watafute wakalimani, manake uelewa wao lugha iliyotumika ni mdogo mno
 
FREEDOM IS COMING TOMORROW.

lets be prepered for de new freedom day soon in Tanzania,proudly brought to u by Nguvu ya Umma .
 
Lukuvi ni ex-STD 8. Alikuwa mwalimu wa primary school
<br />
<br />

Lukuvi anajulikana yuko kwenye list ya mafisada wa Elimu; na maneno yote anayoyaongea ni kujitutumua tu ili aonekane anajua kumbe hamna kitu.
 
Lukuvi ni ex-STD 8. Alikuwa mwalimu wa primary school

Alikuwa mwalimu wa UPE na Mwalimu wa chipukizi kule masasi. katika wasifu wake anasema alisoma lindi Sekondari. Wapendwa tulibhatika kupata nakala ya vyeti vyake tukakuta vinaonyesha alifanya mitihani ya private canditate (Form IV) mwaka 1980 katika centre ya lindi sekondari. Tulipokwenda kwenye vitabu vya matokeo hatukumkuta kwenye orodha ya watahiniwa. Namba yake ya mtihani ilikuwa inazidi namba ya watahiniwa halisiwaliofanya mtihani kwenye kituo hicho. hali kama hii ilijionyesha pia katika cheti chake cha kuhitimu kidato cha 6. kwa mantiki hii utaona ni kwa kiasi gani hawezi kupambanua ukweli na ubaya wa jambo.
 
Back
Top Bottom