We nawe, wakati mwingine unakuwa mgumu kunielewa.................. Hivi ni nani alikwambia wanaume wanaenda kwa makahaba pekupeku? Kuna Kondom mama!!!!
Elewa kwamba sijazungumzia nyumba ndogo, nimezungumzia wale wa chapchap.............................
dahhhh, ....hizi posting za siku hizi mara house girls, mara makahaba, mnazidi kutufanya wanaume tuonekane ni viumbe wadhaifu jamani...khaa?
makahaba tena? mie sie mmoja wenu!
Hivi wewe Mtambuzi jamani huwa unasupervise hayo matukio yote ya wenzio wanaotembea na makahaba kuhakikisha kama wanavaa kondomu..Kama wewe unavaa heri yako, lakini stori za wenzio wanasema huwa wanakuja kujua kwamba hawakuvaa ndomu baada ya tukio..