makada wa ccm udom wazomewa

namboyo

Member
Apr 8, 2011
58
6
chama cha mapinduzi kimekua kikipata upinzanani mkali kwa vijana wa chuo baada ya kujivua gamba chama hiki kimekua kikiwabembeleza wanafunzi kuwapa kampani siku hizi kila jumamosi vijana wamekua wakiombwa kuhudhuria vikao dodoma .chama hiki kimepata pigo badaa ya kukimbiwa na wapiga debe wake ndani ya chuo .mtoa tarifa amesema baadhi ya mawaziri /waunge/mkuu wa mkoa wamekerwa na hali hii ya vijana kuwazomea ccm na kupiga mawe magari .siku ya leo magari yalikua mawili na halikujaa .katibu mwenezi wa ccm udom alisema kua kaka hii yote chadema dodoma walikua wanaipenda sana ccm sasa tunazomewa hivi zamani tulishangiliwa na pia tulijaza shabibi kumi na mbili sasa hivi costa unazunguka masaa sita
 
Tatizo ni kutotaka kuelewa kwamba Tanzania imegeuka. Na akili ndogo kiasi hicho haitawezekana kuikoa CCM.
 
hali hii ya vijana kuwazomea ccm na kupiga mawe magari

Mtoa habari hakukosea hii ni tabia ya wana CDM, sishangai mheshimiwa Lema naye alikuwepo kusaidia kununua gongo na bangi ili wasomi wa UDOM wafanye kazi za CDM. Hongera sana CDM hizi ndizo siasa za kisomi, hongera Gobless Lema kukiwezesha CDM kufanya haya.
 
Mtoa habari hakukosea hii ni tabia ya wana CDM, sishangai mheshimiwa Lema naye alikuwepo kusaidia kununua gongo na bangi ili wasomi wa UDOM wafanye kazi za CDM. Hongera sana CDM hizi ndizo siasa za kisomi, hongera Gobless Lema kukiwezesha CDM kufanya haya.

kawanunulie maziwa waanze kuimba ccm. ccm ccm ccm ccm.
 
Kwani wasiwachome moto ili Magamba yawatoke vizuri, na bado hapoa sisiem mtaona mambo mengi tu kama hamta kifuta hicho chama na kukianzisha upya
 
Mtoa habari hakukosea hii ni tabia ya wana CDM, sishangai mheshimiwa Lema naye alikuwepo kusaidia kununua gongo na bangi ili wasomi wa UDOM wafanye kazi za CDM. Hongera sana CDM hizi ndizo siasa za kisomi, hongera Gobless Lema kukiwezesha CDM kufanya haya.

Mjepu una hasira kama vile ulikuwepo wakati wa baba wa magamba yaani TANU
 
Mtoa habari hakukosea hii ni tabia ya wana CDM, sishangai mheshimiwa Lema naye alikuwepo kusaidia kununua gongo na bangi ili wasomi wa UDOM wafanye kazi za CDM. Hongera sana CDM hizi ndizo siasa za kisomi, hongera Gobless Lema kukiwezesha CDM kufanya haya.

We na akili zako mbaya, yaani wasomi unawaita wavuta bangi. Nimeamini CCM yote imejaa magamba, na hizi ndio busara za CCM.
 
Mtoa habari hakukosea hii ni tabia ya wana CDM, sishangai mheshimiwa Lema naye alikuwepo kusaidia kununua gongo na bangi ili wasomi wa UDOM wafanye kazi za CDM. Hongera sana CDM hizi ndizo siasa za kisomi, hongera Gobless Lema kukiwezesha CDM kufanya haya.

No wonder msimamo wako ni huu.....simpendi SLAA simpendi SLAA simpendi SLAA simpendi SLAA simpendi SLAA simpendi SLAA
 
Mtoa habari hakukosea hii ni tabia ya wana CDM, sishangai mheshimiwa Lema naye alikuwepo kusaidia kununua gongo na bangi ili wasomi wa UDOM wafanye kazi za CDM. Hongera sana CDM hizi ndizo siasa za kisomi, hongera Gobless Lema kukiwezesha CDM kufanya haya.

Amaaa kweli inaonekana ni jinsi gani ulivo na ujauzito wa mawazo.Usijudge vtu usivyo na uhakika navyo Chama kimepoteza mvuto ndio mana haya yanatokea.Please waombe radhi wana UDOM kwa kuwatukana pia LEMA kwa kumsingizia.Nna mashaka na ubongo wako
 
Mtoa habari hakukosea hii ni tabia ya wana CDM, sishangai mheshimiwa Lema naye alikuwepo kusaidia kununua gongo na bangi ili wasomi wa UDOM wafanye kazi za CDM. Hongera sana CDM hizi ndizo siasa za kisomi, hongera Gobless Lema kukiwezesha CDM kufanya haya.

Amaaa kweli inaonekana ni jinsi gani ulivo na ujauzito wa mawazo
.Usijudge vtu usivyo na uhakika navyo Chama kimepoteza mvuto ndio mana haya yanatokea.Please waombe radhi wana UDOM kwa kuwatukana pia LEMA kwa kumsingizia.Nna mashaka na ubongo wako

duh... kweli hii itakuwa ni zaidi
 
Mtoa habari hakukosea hii ni tabia ya wana CDM, sishangai mheshimiwa Lema naye alikuwepo kusaidia kununua gongo na bangi ili wasomi wa UDOM wafanye kazi za CDM. Hongera sana CDM hizi ndizo siasa za kisomi, hongera Gobless Lema kukiwezesha CDM kufanya haya.
Mkuu cjakuelewa!! Unasema UDOM ni watu wa Bangi na Pombe esp kwa kipindi hiki
 
kaka lema hawezi kuwanua watu anayeweza ni shabibi ,membe alafu wanazomea sio chadema ni wana ccm wafu kwanza chadema hawazomei.alafu wana ccm wafu wana zomea huku wakisema hiki ni chama cha koo sita yaani kikwete,msekwa,makamba ,karume,lowasa na rostam huku kada wa ccm bwana machafu analia akisema amekoma kuwa kuhadi wa mafisadi
 
kawanunulie maziwa waanze kuimba ccm. ccm ccm ccm ccm.

Hakuna wa kuwa nunulia maziwa, wanapaswa tu kujua wao ni sehemu ya ushahidi wa juhudi za CCM, tena wao ni zao la utekelezaji wa Ilani ya 2005/2010/2015. Wakirudi makwao baba na mama zao watauliza nani mwema anayenunulia gongo au anayewajengea chuo kikuu nao waliofeli kufika mlimani wakasoma.

this sound like Gaddafi style huh!!

Ni kweli inasikitisha vijana wanashindwa kujifunza kutokana uvamizi wa Libya, na mbinu ni ileile ya kuvutisha bangi raia wema kisha kuhamasisha maovu kama kutupa mawe.

Mjepu una hasira kama vile ulikuwepo wakati wa baba wa magamba yaani TANU

Nilikuwepo dogo, na tulikuwa ni vijana makini tuliopinga kwa ustaarabu na kutoa maoni yetu bila kumpiga mtu mawe, ndio maana ninyi mmezaliwa katika nchi inayopokea wakimbizi na si inayozalisha wakimbizi.

We na akili zako mbaya, yaani wasomi unawaita wavuta bangi. Nimeamini CCM yote imejaa magamba, na hizi ndio busara za CCM.

Wasomi wanaotupa mawe niwaite jina gani mkuu?

No wonder msimamo wako ni huu.....simpendi SLAA simpendi SLAA simpendi SLAA simpendi SLAA simpendi SLAA simpendi SLAA

Mzee huyu matendo yake yanakera sana, nadhani bado anaishi kwa kuwa kuua ni dhambi.

Amaaa kweli inaonekana ni jinsi gani ulivo na ujauzito wa mawazo.Usijudge vtu usivyo na uhakika navyo Chama kimepoteza mvuto ndio mana haya yanatokea.Please waombe radhi wana UDOM kwa kuwatukana pia LEMA kwa kumsingizia.Nna mashaka na ubongo wako

Mwambieni Lema aje hapa akanushe kuwa hakutoa laki tatu kumpa, dogo wa UDOM anunue bangi na pombe siku ya public hearing pale bungeni, dogo anaitwa Jack Beur anasoma mwaka wa tatu. Then mimi nitamuomba radhi Mheshimiwa Lema.
 
wanaozomea ccm ni wana ccm wenyewe. Fikiri kama baadhi yao wanasema walijaza gali zaidi ya mbili, lakini sasa wanasema hata costa moja haijai.
Hapo jiulize je waliojaza gali awali walikuwa cdm. Akili ikitumika utagundua ya kwamba wale waliokuwa wafuasi yaweza wamevua magamba ya ccm.
 
Mtoa habari hakukosea hii ni tabia ya wana CDM, sishangai mheshimiwa Lema naye alikuwepo kusaidia kununua gongo na bangi ili wasomi wa UDOM wafanye kazi za CDM. Hongera sana CDM hizi ndizo siasa za kisomi, hongera Gobless Lema kukiwezesha CDM kufanya haya.

Ukweli ni kwamba CCM imepoteza mvuto mbele ya umma wa watanzania hayo mengine unayasema wewe kishabiki. Kauli yako hii pia ni dharau kwa wasomi wa UDOM. Kauli za namna hii zinamfaa Yusuph Makamba na Tambwe Hiza, au ndio wamekuachia wewe nini? Shughulikieni matatizo ya watanzania, acheni kui-singizia CHADEMA kwa kufanya hivyo mnaendelea kuitangaza
 
Ukweli ni kwamba CCM imepoteza mvuto mbele ya umma wa watanzania hayo mengine unayasema wewe kishabiki. Kauli yako hii pia ni dharau kwa wasomi wa UDOM. Kauli za namna hii zinamfaa Yusuph Makamba na Tambwe Hiza, au ndio wamekuachia wewe nini? Shughulikieni matatizo ya watanzania, acheni kui-singizia CHADEMA kwa kufanya hivyo mnaendelea kuitangaza

Chama kinachopoteza mvuto kinaongoza dola? sawa NRA ina mvuto? mbona katibu wa organisation anasoma hapo hakuna siku amezomewa? Suala hapa si mvuto bali ni tabia ya kuonesha huko kukosa mvuto, kwa wasomi kuzomea ni ujinga na ushamba wa hali ya juu, hat unikate kichwa siwezi kumuita mtu anayetupa mawe, anayefanya vurugu msomi. Huo usomi haupatikani kwa kupata admission chuo bali tabia zako.
 
Unatafuta mchumba ..? Hatutaki watu wenye akili za kushikiwa kama wewe katika kuatafuta kuijenga Tanzania Mpya......

Mtoa habari hakukosea hii ni tabia ya wana CDM, sishangai mheshimiwa Lema naye alikuwepo kusaidia kununua gongo na bangi ili wasomi wa UDOM wafanye kazi za CDM. Hongera sana CDM hizi ndizo siasa za kisomi, hongera Gobless Lema kukiwezesha CDM kufanya haya.
 
Back
Top Bottom