chama cha mapinduzi kimekua kikipata upinzanani mkali kwa vijana wa chuo baada ya kujivua gamba chama hiki kimekua kikiwabembeleza wanafunzi kuwapa kampani siku hizi kila jumamosi vijana wamekua wakiombwa kuhudhuria vikao dodoma .chama hiki kimepata pigo badaa ya kukimbiwa na wapiga debe wake ndani ya chuo .mtoa tarifa amesema baadhi ya mawaziri /waunge/mkuu wa mkoa wamekerwa na hali hii ya vijana kuwazomea ccm na kupiga mawe magari .siku ya leo magari yalikua mawili na halikujaa .katibu mwenezi wa ccm udom alisema kua kaka hii yote chadema dodoma walikua wanaipenda sana ccm sasa tunazomewa hivi zamani tulishangiliwa na pia tulijaza shabibi kumi na mbili sasa hivi costa unazunguka masaa sita