Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Yap, ufisadi si kuiba au kuikosesha mapato serikali lakini msamiati huu unaweza kuendelea kule nyewe Serikali yenyewe inakuwa na tendencies za KIFISADI FISADI
sasa hivi wana Mradi mkubwa wa makaburi ya WATAWALA wetu maana viongozi ndio hatuna, sasa katika mradi huu ambao gharama yake ni MABILIONI mpaka ofisi ya Waziri Mkuu inaogopa kutaja ni kiasi gani umekuwa gumzo la chini chini kwenye duru za siasa na wale watu wa mipango kule Magogoni na kwa taarifa tuu ni kuwa ZANZIBAR washaobject kwa misingi ya DINI kuwa hawawezi kukubali kuzikwa kwenye makaburi ya pamoja na wasio waislam wakati huo huo wanaobject kwa serikali ya TANGANYIKA kutowahusisha vilivyo kwenye hii mipango ya MAKABURI YA WATAWALA itakayokuwa DODOMA
Anyway, cha kujiuliza kama si ufisadi ni nini kweli sasa hivi ndio tupange mipango ya ma BILIONI ya kuwa na haya Makaburi ya watawala?
Kwa kuijua ofisi ya Pinda ilivyojaa ma mediocres najua hawa watafeli tuu kwa sababu mfano hai upo na katika ule mkutano wa chuo kikuu cha MANDELA wapambe wake walikuja bila kuwa na uhakika chuo kitacost kiasi gani na matokeo yake wakaanza GUESS WORK kuwa kitacost BILIONI 11 ili hali mpaka jana docs zinaonyesha CHUO KITACOST BILIONI ZAIDI YA 30!
No wonder hawataki ku update website ya Waziri mkuu...these guys should take a leaf from SALVA Ikulu:
wafungue e-mail ya Yahoo!
then kila wakiwa na news watumie akina Maxene na Kubenea e-mails
na website waiache mpaka ife natural death kama ilivyokufa ya Ikulu
wasithubutu kuweka policies zao online kwani ni loophole ya wao kukosolewa
By the way Hili ni wazo zuri lakini Makaburi haya yangekuwa ya MASHUJAA WETU kama wanajeshi ambao nawaheshimu kuliko hawa WATAWALA
sasa hivi wana Mradi mkubwa wa makaburi ya WATAWALA wetu maana viongozi ndio hatuna, sasa katika mradi huu ambao gharama yake ni MABILIONI mpaka ofisi ya Waziri Mkuu inaogopa kutaja ni kiasi gani umekuwa gumzo la chini chini kwenye duru za siasa na wale watu wa mipango kule Magogoni na kwa taarifa tuu ni kuwa ZANZIBAR washaobject kwa misingi ya DINI kuwa hawawezi kukubali kuzikwa kwenye makaburi ya pamoja na wasio waislam wakati huo huo wanaobject kwa serikali ya TANGANYIKA kutowahusisha vilivyo kwenye hii mipango ya MAKABURI YA WATAWALA itakayokuwa DODOMA
Anyway, cha kujiuliza kama si ufisadi ni nini kweli sasa hivi ndio tupange mipango ya ma BILIONI ya kuwa na haya Makaburi ya watawala?
Kwa kuijua ofisi ya Pinda ilivyojaa ma mediocres najua hawa watafeli tuu kwa sababu mfano hai upo na katika ule mkutano wa chuo kikuu cha MANDELA wapambe wake walikuja bila kuwa na uhakika chuo kitacost kiasi gani na matokeo yake wakaanza GUESS WORK kuwa kitacost BILIONI 11 ili hali mpaka jana docs zinaonyesha CHUO KITACOST BILIONI ZAIDI YA 30!
No wonder hawataki ku update website ya Waziri mkuu...these guys should take a leaf from SALVA Ikulu:
wafungue e-mail ya Yahoo!
then kila wakiwa na news watumie akina Maxene na Kubenea e-mails
na website waiache mpaka ife natural death kama ilivyokufa ya Ikulu
wasithubutu kuweka policies zao online kwani ni loophole ya wao kukosolewa
By the way Hili ni wazo zuri lakini Makaburi haya yangekuwa ya MASHUJAA WETU kama wanajeshi ambao nawaheshimu kuliko hawa WATAWALA