kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,132
- 6,100
Pwani.
Wazaramo,wandengereko,wanyagatwa na wakwele.
Wazaramo,wandengereko,wanyagatwa na wakwele.
Tanga
1-Wasambaa
2-wabondei
3-wadigo
4-wazigua
Kuna mmoja kaweka mada inayohusiana na majina ya ukoo ya makabila mbalimbali nchini Tanzania, nimeona si vibaya nikaja na hili la list ya makabila yote yaliopo nchini kwetu Tanzania.
Hii itatusaidia sisi kuifahamu vizuri jamii zetu na asili ya nchi yetu (Historia ya jamii za Tanzania na asili zake)
Kwa kuanzia naanza na haya machache kama yafuatayo:
MBEYA:
1. Wanyakyusa
2. Waileje
3. Wasangu
4. Wasafwa
5. ......
MOROGORO:
1. Wapogoro
2. Waluguru
3. .......
MWANZA:
1. Wasukuma
2. Wakerewe
3. .........
SIMIYU:
SHINYANGA:
KIGOMA:
PWANI:
DODOMA:
SINGIDA:
ARUSHA:
MANYARA:
KILIMANJARO:
TANGA:
LINDI:
MTWARA:
RUVUMA:
NJOMBE:
RUKWA:
TABORA:
KAGERA:
MARA:
KATAVI:
Mnaweza kuyataja kwa makabila mnayoyafahamu...hii ni sehemu nzuri ya kutunza asili zetu zetu Tanzania!
Karibuni..
Kuna mmoja kaweka mada inayohusiana na majina ya ukoo ya makabila mbalimbali nchini Tanzania, nimeona si vibaya nikaja na hili la list ya makabila yote yaliopo nchini kwetu Tanzania.
Hii itatusaidia sisi kuifahamu vizuri jamii zetu na asili ya nchi yetu (Historia ya jamii za Tanzania na asili zake)
Kwa kuanzia naanza na haya machache kama yafuatayo:
MBEYA:
1. Wanyakyusa
2. Waileje
3. Wasangu
4. Wasafwa
5. ......
MOROGORO:
1. Wapogoro
2. Waluguru
3. .......
MWANZA:
1. Wasukuma
2. Wakerewe
3. .........
SIMIYU:
SHINYANGA:
KIGOMA:
PWANI:
DODOMA:
SINGIDA:
ARUSHA:
MANYARA:
KILIMANJARO:
TANGA:
LINDI:
MTWARA:
RUVUMA:
NJOMBE:
RUKWA:
TABORA:
KAGERA:
MARA:
KATAVI:
Mnaweza kuyataja kwa makabila mnayoyafahamu...hii ni sehemu nzuri ya kutunza asili zetu zetu Tanzania!
Karibuni..
Kwahiyo hawana lugha nyengine zaidi ya kiswahili na ni mwaka gani waswahili walianza kuongea hii lugha?
Nalog off
Sijaona wagigikoko
nipo Papa Mopao,
Nalog off
Heshima yako mkuu!!,dah asante sana kwa kunipanua akili.Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikijiuliza kama kweli Tanzania ina jumla ya makabila mia ishirin.Kwa hesabu zangu sijawahi kufikisha hata hiyo mia bila baadhi ya makabila kujirudia,.
Je kuna ukweli katika dhana hiyo kama tulivyokaririshwa tangu tukiwa wadogo?.
Nawaomba wanaforum tufikiri kwa pamoja na tujaribu kuyataja makabila ya Tanzania 120 ili tuweke takwimu sawa.
Naomba kuwasilisha.
------------------------
kujua idad au majina ya makabila haisaidii hata punje ktk uchumi wa tz kukua