CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
hey hey. . . wewe kama mwanajamvi naomba unitajie makabila yaliyopo mkoani kwenu. naanza mie makabila yaliyopo mkoani kwetu
1. wajita
2. wajaluo
3. wakurya
haya ndo makabila makuu mkoa wa mara. hii inasaidia kwani unaweza kusikia mtu akitaja kabila flan ukadhani ni nje ya nchi kumbe ni hapahapa bongo. karibuni
1. wajita
2. wajaluo
3. wakurya
haya ndo makabila makuu mkoa wa mara. hii inasaidia kwani unaweza kusikia mtu akitaja kabila flan ukadhani ni nje ya nchi kumbe ni hapahapa bongo. karibuni