Makabila yetu: Vijana na wanawake wa Kisukuma

pia katika wasukuma haoa hao tunetofautiana kunawasukuma wa shinyanga (wanyatunzu),

Mimi ni Mnyantuzu na kwetu ni Bariadi ambayo zamani ilikuwa ni moja wa wilaya za mkoa wa Shinyanga na sasa ndiyo makao makuu ya mkoa wa Simiyu.

Kwa hiyo Wanyantuzu si Wasukuma wa Shinyanga peke yao. Wasukuma wa Kahama au hata Shinyanga mjini na maeneo ya jirani kama Ibinzamata, Ibadakuli, Maganzo, n.k. wana lahaja tofauti na Wasukuma watokeao Ntuzu.

Wanyantuzu ni Wasukuma watokeao Ntuzu ambayo ndiyo present day Bariadi.

Ili kuweza kuzibaini tofauti hizo ni lazima uwe unajua vizuri mojawapo ya lahaja za Kisukuma la sivyo unaweza usijue tofauti.
 
wasukuma ni waungwana, wanaheshima, wastaarabu, hawana makuu. tabia ya mtu binafsi haiwezi kuchukuliwa kama ndo kipimo cha ku-assesss wanawake wote wa kisukuma. kasoro pekee ya wasukukma wanapenda sana tena mno kuongea kisukuma, ndo kitu pekee wanachoboa!
 
Hii si mara ya kwanza kuona Wahaya wanachanganywa kapu moja na Wasukuma.

To the chagrin of "basumba batale" and "banamhala".

SMH!!

Just goes to show you how inexact this entire branding is.

Nishawahi kuambiwa na secretary mmoja "mi kila siku nafikiri wewe Mhaya".

I nearly fainted!!

Ofu kwozi, some secretaries think anybody seemingly intelligent, confident and with an above average -by TZ standards- command of that colonial tongue must be Haya!

Kwa nini? Unless ni watani wako. Ila nafurahi kwamba hujawanyima haki yao ya msingi, umekiri unawa-appreciate "upstairs". Na kwa kweli wako safi hawana mchezo. Nadhani samaki na ndizi have something big to do with intelligence, au wataalamu watasemaje hapa? Au nakosea? Waangalie hata wakerewe pia kwa mfano, wako safi kichwani hamna mfano! Haya makabila mawili mimi nayakubali kichwani!
 
Mimi ni Mnyantuzu na kwetu ni Bariadi ambayo zamani ilikuwa ni moja wa wilaya za mkoa wa Shinyanga na sasa ndiyo makao makuu ya mkoa wa Simiyu.

Kwa hiyo Wanyantuzu si Wasukuma wa Shinyanga peke yao. Wasukuma wa Kahama au hata Shinyanga mjini na maeneo ya jirani kama Ibinzamata, Ibadakuli, Maganzo, n.k. wana lahaja tofauti na Wasukuma watokeao Ntuzu.

Wanyantuzu ni Wasukuma watokeao Ntuzu ambayo ndiyo present day Bariadi.

Ili kuweza kuzibaini tofauti hizo ni lazima uwe unajua vizuri mojawapo ya lahaja za Kisukuma la sivyo unaweza usijue tofauti.
Ong'wise, mhola? Bariadi sehemu gani, Somanda, Sima, Kidulya, Mahaha au nje kidogo ya Brd?
 
mmmh nadhani hii inategemea mtu na mtu, manake nilishakuwa na uhusiano na wanaume wakisukuma halafu mi ndo nikajikuta nawapenda na mwisho wa siku nikaambulia kulia. Japo hawajui kuacha lakini tabia watakazokuonesha utajikuta unamuacha mwenyewe. Sitaki hata kuwasikia ila sitaki kulaumu kabila zima kwani wapo wengi ambao hawana tabia hizi
 
Nimefurahi wagalu tupo wengi humu. Mimi nilitoks Barisdi nikiwa nyanda mdogo enzi zile mbina za bukhoboga, bhununhuli na bwigashe pamoja na bugoyangi vilikuea ndio issue. Wagalu tulikuwa tunatisha sana kwa mbina na manonga
 
teh
hakuna siku imepita sijaongea kisukuma asee
wasukuma ni
waungwana, wanaheshima, wastaarabu, hawana makuu. tabia ya mtu binafsi
haiwezi kuchukuliwa kama ndo kipimo cha ku-assesss wanawake wote wa
kisukuma. kasoro pekee ya wasukukma wanapenda sana tena mno kuongea
kisukuma, ndo kitu pekee wanachoboa!
 
Back
Top Bottom