Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
:confused2::confused2:
Jamaa wana msimamo sana..ukiwa chapa wanapokea lakini jibu wanalo kwenye vijisanduku...walifanya hivyo 1995 nilishuhudia walivyo kuwa wanapokea pesa ya CCM na kuvaa vit-shirt, kanga za na kofia za CCM lakini mwisho wa siku CCM miguu juu...Unawasema hawa ni Wanyatunzu,ambao wao ni pesa tu.Kina Cheyo,Vijisenti na hawa akina Rehema ya Mungu ni watu wa Bariadi.
Ndilo swali nililotaka kuuliza!!!!!!!!!!!!!!!!ukubwa wa kabila na uongozi vinahusiana nini?au ni mimi sijaelewa vizuri?Ya Ukabila Yameanza????, Ukabila unanafasi gani katika Uongozi!, hili lisizungumzwe hadharani.
well said"Ni heri uwe na dini lakini usiaathiriwe na virusi vya udini, na ni afadhali mara elfu uwe na kabila lako ili kujua namna ya kufanya matambiko yenu na kujua watani wako ni makabila gani kuliko kuwa na hisia na kuwa mkabila" alisema Mwalimu Julius Nyerere katika maisha yake.
Zenji,Tanga,Kilwa Dar kuna resources gani?Mshukuru watu wa bara kuja kujenga huko.
Mdigo ana maendeleo gani.
Kwa kweli huu utani ni mzuri sana, huwa kuna kaburudani fulani hasa kwenye sherehe au msibani!!M na upenda saana,unajifunza na kurekebisha jamii
Ukiwa na kesi polisi, moja ya maelezo wanayochukua katika utambulisho wako ni kabila. Ukienda katika nyumba za kulala wageni, moja ya sehemu ya kujaza baada ya jina lako ni kabila. Na Mwalimu alisema tunaulizana makabila tunapotaka kutaniana tu! Ni kweli?
kwani wewe kabila gani?....
Mkwere!!!!!
Mimi msambaa ila rafiki wa mkwere........
Ukiwa na kesi polisi, moja ya maelezo wanayochukua katika utambulisho wako ni kabila. Ukienda katika nyumba za kulala wageni, moja ya sehemu ya kujaza baada ya jina lako ni kabila. Na Mwalimu alisema tunaulizana makabila tunapotaka kutaniana tu! Ni kweli?
- Alagwa
- Akiek
- Arusha
- Assa
- Barabaig
- Bembe
- Bena
- Bende
- Bondei
- Bungu
- Burunge
- Chaga
- Datooga
- Dhaiso
- Digo
- Doe
- Fipa
- Gogo
- Gorowa
- Gweno
- Ha
- Hadza
- Hangaza
- Haya
- Hehe
- Ikizu
- Ikoma
- Iraqw
- Isanzu
- Jiji
- Jita
- Kabwa
- Kagura
- Kaguru
- Kahe
- Kami
- Kara (also called Regi)
- Kerewe
- Kimbu
- Kinga
- Kisankasa
- Kisi
- Konongo
- Kuria
- Kutu
- Kw'adza
- Kwavi
- Kwaya
- Kwere
- Kwifa
- Lambya
- Luguru
- Luo
- Maasai
- Machinga
- Magoma
- Makonde
- Makua
- Makwe
- Malila
- Mambwe
- Manda
- Matengo
- Matumbi
- Maviha
- Mbugwe
- Mbunga
- Meru (Wameru of the slopes of Mt. Meru in Arumeru District)
- Mosiro
- Mpoto
- Mwanga
- Mwera
- Ndali
- Ndamba
- Ndendeule
- Ndengereko
- Ndonde
- Ngasa
- Ngindo
- Ngoni
- Ngulu
- Ngurimi
- Ngwele
- Nilamba
- Nindi
- Nyakyusa
- Nyambo
- Nyamwanga
- Nyamwezi
- Nyanyembe
- Nyaturu
- Nyiha
- Nyiramba
- Pangwa
- Pare
- Pimbwe
- Pogolo
- Rangi
- Rufiji
- Rungi
- Rungu
- Rungwa
- Rwa
- Safwa
- Sagara
- Sandawe
- Sangu
- Segeju
- Shambaa
- Shirazi
- Shubi
- Sizaki
- Suba
- Sukuma
- Sumbwa
- Swahili
- Temi
- Tongwe
- Tumbuka
- Vidunda
- Vinza
- Wanda
- Wanji
- Ware
- Yao
- Zanaki
- Zaramo
- Zigula
- Zinza
- Zyoba
Source plz??? I have never heard some of the tribes mentioned, like those in red. Some of the mentioned tribes are not tribes as such but clans within a tribe. Some of the mentioned are "extinct", i.e. they have integrated themselves into bigger ones.
Source plz??? I have never heard some of the tribes mentioned, like those in red. Some of the mentioned tribes are not tribes as such but clans within a tribe. Some of the mentioned are "extinct", i.e. they have integrated themselves into bigger ones.