MR. DRY JF-Expert Member Oct 5, 2011 637 122 Oct 28, 2011 #1 Haya makabila yanapenda sana ndoa maishani! 1. Wachaga 2. Mnyakyusa 3. ........ 4. ........ Malizia.........mjini shule!
Haya makabila yanapenda sana ndoa maishani! 1. Wachaga 2. Mnyakyusa 3. ........ 4. ........ Malizia.........mjini shule!
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,850 155,799 Oct 28, 2011 #2 kabila lenu wanawake wanapigwa mimba na kukimbiwa? Basi mna kasoro
Power G JF-Expert Member Apr 20, 2011 3,886 1,193 Oct 28, 2011 #3 Labda wewe utueleze kabila lako ni lipi ambalo hamuowi na kuolewa!
MR. DRY JF-Expert Member Oct 5, 2011 637 122 Oct 28, 2011 Thread starter #4 Bujibuji said: kabila lenu wanawake wanapigwa mimba na kukimbiwa? Basi mna kasoro Click to expand... mbona unawasema wazaramo.
Bujibuji said: kabila lenu wanawake wanapigwa mimba na kukimbiwa? Basi mna kasoro Click to expand... mbona unawasema wazaramo.
MR. DRY JF-Expert Member Oct 5, 2011 637 122 Oct 28, 2011 Thread starter #5 Jsaudi said: Labda wewe utueleze kabila lako ni lipi ambalo hamuowi na kuolewa! Click to expand... wamasai hawanaga kabisa ndoa.
Jsaudi said: Labda wewe utueleze kabila lako ni lipi ambalo hamuowi na kuolewa! Click to expand... wamasai hawanaga kabisa ndoa.
2my JF-Expert Member Jan 30, 2010 287 7 Oct 28, 2011 #7 Baba Sharon said: Hakuna match leo? Click to expand... unamaanisha match ya uwanja gani Baba Sharon?
Kimbunga Platinum Member Oct 4, 2007 14,941 9,947 Oct 28, 2011 #8 Mods jukwaa la siasa linanajisiwa!! Kwa kuwekwa hapa hii thread ni kulipa najisi jukwaa hili.
chapaa JF-Expert Member Feb 19, 2008 2,351 203 Oct 28, 2011 #9 kumbe wazaramo ndo mnavyowatenda!!!??? vipi kuhusu wak**re??? MR. DRY said: mbona unawasema wazaramo. Click to expand...
kumbe wazaramo ndo mnavyowatenda!!!??? vipi kuhusu wak**re??? MR. DRY said: mbona unawasema wazaramo. Click to expand...
Mzee JF-Expert Member Feb 2, 2011 13,597 5,788 Oct 29, 2011 #10 Huwa ni uchafu ndani ya jf. Mods tupilia mbali huu upupu.
MR. DRY JF-Expert Member Oct 5, 2011 637 122 Oct 29, 2011 Thread starter #11 Mzee said: Huwa ni uchafu ndani ya jf. Mods tupilia mbali huu upupu. Click to expand... kwan kuna recycle bin humu......mjini shule!
Mzee said: Huwa ni uchafu ndani ya jf. Mods tupilia mbali huu upupu. Click to expand... kwan kuna recycle bin humu......mjini shule!
V valid statement JF-Expert Member Sep 18, 2011 2,851 868 Oct 30, 2011 #12 wachagga wanaongoza kwa kila sekta, hadi kupenda kufunga ndoa!
Leonard Robert JF-Expert Member Apr 22, 2011 11,064 7,196 Oct 30, 2011 #13 valid statement said: wachagga wanaongoza kwa kila sekta, hadi kupenda kufunga ndoa! Click to expand... kama ukweli vile.
valid statement said: wachagga wanaongoza kwa kila sekta, hadi kupenda kufunga ndoa! Click to expand... kama ukweli vile.