mwakabhuta
Member
- Oct 4, 2010
- 16
- 9
Wanajamii, kuna mtu anafahamu wapi hapa Dar naweza kununua coal au makaa ya mawe. ningependa kujua bei na kiasi cha mzigo wa kuanzia ambao unafika sokoni.
nahitaji coal kwa ajili ya chanzo cha moto.
nahitaji coal kwa ajili ya chanzo cha moto.