Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
majuu bana ni majuuu hata kwenye makaburi lazima utupie swagga....
mchizi anaonekana mwenye masikitiko makubwaaa akiwa kwenye mkao wa majonzi kwenye kaburi la msela wake aliefariki huko majuu boston MA......majuu inaruhusiwa kula one two check microphone hata kwenye makaburi....
sosi http://fundirkombo.blogspot.com/2012/07/watanzania-wa-massachusetts-na.html#comment-form
mchizi anaonekana mwenye masikitiko makubwaaa akiwa kwenye mkao wa majonzi kwenye kaburi la msela wake aliefariki huko majuu boston MA......majuu inaruhusiwa kula one two check microphone hata kwenye makaburi....
sosi http://fundirkombo.blogspot.com/2012/07/watanzania-wa-massachusetts-na.html#comment-form