Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Kama kuna wakati mtu anakumbuka kwao alikotoka basi kihoro cha hali ya uchumi duniani kinawafanya wakimbizi waanze kukumbuka walikotoka na pengine mambo yakiendelea watatafuta njia za kurudi makwao ,kila siku ziendavyo ndivyo mambu yanavyozidi kukacha na uchumi haukubaliani na population ya nchi za ulimwengu wa kwanza,serikali zimeanza kukata bajeti kila kona ,makampuni nayo yameanza kukata wafanyakazi na mengine yanafilisika ,shuguli za hapa na pale nazo zinazidi kuzorota kiasi cha kuwafanya wakimbizi wakose cha kufanya au kubangaiza jambo ambalo linawakosesha feza ya kuimudu siku.
Ushauri wa bure watazame nchi walizotoka huenda wakaweza kuyamudu maisha japo nako kunafuka moshi.
Ushauri wa bure watazame nchi walizotoka huenda wakaweza kuyamudu maisha japo nako kunafuka moshi.