mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
kukiwa kuna hali isiyolasimi ya kumiliki viwanja visivyo pimwa hadi kusababisha msongamano wa vijumba vidogodogoambavyo havina vyoo wala barabara huku tanesco na dawasco ikipeleka huduma, ni jambo la kushangaza sana kuona vijumba mithili ya uyoga vikijengwa kwa kasi na kuatarisha usalama wa barabara zetu hasa pale tegeta machimbo.
Ninauliza nani anatoa kibari cha ujenzi nani anauza sehemu hizi bila mpangilio wa mji au huu ndio uvamizi holela wa viwanja baadaye serikali ije kubomoa kwa gharama na kuahatarisha maisha ya wakazi kwa kupteza rasilimali
Ninauliza nani anatoa kibari cha ujenzi nani anauza sehemu hizi bila mpangilio wa mji au huu ndio uvamizi holela wa viwanja baadaye serikali ije kubomoa kwa gharama na kuahatarisha maisha ya wakazi kwa kupteza rasilimali