Wana JF ninaomba mnijuze majukumu ya waziri Lukuvi siyafahamu. Mara nyingi namwona ni mtu wa kuomba mwongozo na kutoa taarifa bungeni. Wadhifa huo una tija yoyote kwa maendeleo ya nchi?
Acha ubaguzi wako huo wa kijinga. Yeye ameuliza kwa sababu hajui lakini wewe unaanza kashfa.
Haya wewe mwenye Phd mbona umeshindwa kujibu swali la darasa la saba? Acha ushamba mkuu kwani elimu yako imekuwa ni kuwadharau wengine. Hapa ni kuelimishana. Huu ni ushamba sana.
huyu lukuvi ni ndumila kuwili na mnafiki kweli kweli , hana elimu ni mbwembwe tu