newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
naomba ufafanuzi Mkuu wa wilaya, Mtendaji na Mjumbe majukumu yao hasa ni yapi?
je mkuu wa willaya na Mkurugenzi wa manispaa/halmashauri nani ni bosi na mipaka ya majukumu yao ikoje.
je mkuu wa willaya na Mkurugenzi wa manispaa/halmashauri nani ni bosi na mipaka ya majukumu yao ikoje.