Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,060
Kichuguu,
Nakubaliana na wewe. Ila ifike wakati tuwe tunawasema hawa wapuuzi na tumalize hasira zetu na baada ya hapo, tunamuachia Mungu sasa amhukumu. Ndiyo maana nimeweka kilio changu tu na hukumu namuachia mwenyewe.
Asante kwa cheti cha JKT. Mie nafikiri nilikuwa enzi za Makame. Makame alikuja Msange JKT na kukuta hali ya ovyo na akalazimisha kila COY iwe na taa na redio. Akaagiza tuchome Mkaa na kweli within mwezi mmoja, tukawa na redio na taa za chemli.
Alipoenda Msoma sijui kambi inaitwa vipi ile, nasikia alishangaa kukuta RAIA wamezagaa kikosini. Akauliza sasa wanajeshi wako wapi wakamjibu ndiyo hao. Nasikia alikataa kuondoka hadi maroli yaje kutoka makao makuu Dar. Yakaleta nguo, magodoro, vitanda, viatu, kaptura, sox na bila kuzisahau GREEN VEST ZA KIJANI.
Nakubaliana na wewe. Ila ifike wakati tuwe tunawasema hawa wapuuzi na tumalize hasira zetu na baada ya hapo, tunamuachia Mungu sasa amhukumu. Ndiyo maana nimeweka kilio changu tu na hukumu namuachia mwenyewe.
Asante kwa cheti cha JKT. Mie nafikiri nilikuwa enzi za Makame. Makame alikuja Msange JKT na kukuta hali ya ovyo na akalazimisha kila COY iwe na taa na redio. Akaagiza tuchome Mkaa na kweli within mwezi mmoja, tukawa na redio na taa za chemli.
Alipoenda Msoma sijui kambi inaitwa vipi ile, nasikia alishangaa kukuta RAIA wamezagaa kikosini. Akauliza sasa wanajeshi wako wapi wakamjibu ndiyo hao. Nasikia alikataa kuondoka hadi maroli yaje kutoka makao makuu Dar. Yakaleta nguo, magodoro, vitanda, viatu, kaptura, sox na bila kuzisahau GREEN VEST ZA KIJANI.