Mwacheni afe banaa asituwekee usiku hapa. Kama baba mchawi utampenda tu. Ukiambiwa baba yako alimbaka mamayako halafu ukazaliwa weye utaendelea kumpenda huyo baba huyo.
Wanamapinduzi ndio wale wauwaji,wabakaji,wanyang'anyi nk. Hatuwe umia kwa kufa kwao bali twafurahi hasa.
Mwacheni afe banaa asituwekee usiku hapa. Kama baba mchawi utampenda tu. Ukiambiwa baba yako alimbaka mamayako halafu ukazaliwa weye utaendelea kumpenda huyo baba huyo.
Wanamapinduzi ndio wale wauwaji,wabakaji,wanyang'anyi nk. Hatuwe umia kwa kufa kwao bali twafurahi hasa.
ndugu tunajua smz imefanya dhila na udhulumaji mwingi zanzibar na pia wameua na kubaka kama duru za historia mbali mbali zinavyosema ila marehemu hatajwi kwa mabaya yake ila tunamtaja kwa mazuri yake. Hayo mabaya muachie aende nayo kaburini atajuana yeye na mola wake. Rip general abdallah natepe innallilahi waina illaihi rajiun.
mbona farao huwa anatajwa mabaya yake yote aliyoyafanya tena kimaandishi ktk vitabu vyote vya dini na hata kuran takatifu hata aya moja haielezi uzuri wa farao bali maovu yake yote! Sasa wewe unasema tumsifie natepe wapi umeyatoa hayo?
ameshiriki mauwaji ya kimbari huko zanzibar 1964 na kuwa member wa kinachoitwa baraza la mapinduzi hawezi kukwepa laana za waathirika wa mauwaji hayo mpaka siku ya kiyama! Ukitaka asamehewe basi familiya yake iwalipe fidia familia ya watu waliouwawa aidha kwa mkono wake natepe mwenyewe au wale aliowapa amri ya kuuwa!
hivi ndio dini na sheria inavyofundisha lakini sio kumsifia na kumuombea dua mtu muuwaji!!!!
Kadogoo said:Mwacheni afe banaa asituwekee usiku hapa. Kama baba mchawi utampenda tu. Ukiambiwa baba yako alimbaka mamayako halafu ukazaliwa weye utaendelea kumpenda huyo baba huyo.
Historia kuntu!Kadogoo,
..Waarabu walikuwa wakibaka wanawake wa Kiafrika wakati wa utumwa na hata baada ya hapo? ukweli huo ndiyo uliopelekea ukatili na ubakaji unaosemekana ulitokea wakati wa Mapinduzi ya ZNZ.
..tatizo ni kwamba sasa hivi kuna Wamanga-koko wengi huko Zenj wanapinga mapinduzi na kulaani ubakaji wakati wa mapinduzi yale, bila kubainisha kwamba mababu zao wa Kiarabu nao walifanya mambo hayohayo.
..Njia sahihi ya kufuata sasa hivi ni kuamua kujenga Zenj mpya isiyobagua kwa misingi ya rangi, dini,kabila,jinsia,na vyama vya siasa.
..
Fafanua vizuriR.I.P. Mzee Natepe, tunakukumbuka pale ulipochukua hatua kujiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani mwaka 1983 kwa uzembe wa wasaidizi wako, viongozi wa leo hawakubali kuwajibika.