kweli ni majoka......najiuliza huyo dada aliyenyanyua mguu juu.....sijui ndio style gani.....
we unajua kucheza two-step.....?
je na huyo aliyepindia mgongo?
kweli ni majoka......najiuliza huyo dada aliyenyanyua mguu juu.....sijui ndio style gani.....
hiyo style ya kipindi hiyoo au?we unajua kucheza two-step.....?
Saaana tu. Unataka nikifundishe?
ningefurahi sana kujua kuruka majoka......
Nimeona title nikajua majoka wanyama nikaingia nikichungulia kwa jicho moja maana naogopa hawa viumbe hata kwenye picha tu....kumbe ni utaratibu wa kucheza....
Hiyo inafaa kama huna kitambi na manyama uzembe
nilishaanza na nina kilo 86.....
Umeshawahi kuliona li-giant anaconda wewe?