Majoka...

Ndibalema

JF-Expert Member
Apr 26, 2008
10,956
4,648
381624_282659045110965_100001006145865_811481_2010574708_n.jpg
 
kweli ni majoka......najiuliza huyo dada aliyenyanyua mguu juu.....sijui ndio style gani.....
 
Mhh hayo majoka ni ya miaka hiyo ya 2000 na kuendelea,sijaona bugaluu wala laison,sijaona afro hapo!! Hayo ni majoka ya siku hizi tu btn 2000-2010 si ya zamani kabisa!
 
Nimeona title nikajua majoka wanyama nikaingia nikichungulia kwa jicho moja maana naogopa hawa viumbe hata kwenye picha tu....kumbe ni utaratibu wa kucheza....

Hiyo inafaa kama huna kitambi na manyama uzembe
 
Nimeona title nikajua majoka wanyama nikaingia nikichungulia kwa jicho moja maana naogopa hawa viumbe hata kwenye picha tu....kumbe ni utaratibu wa kucheza....

Hiyo inafaa kama huna kitambi na manyama uzembe

Umeshawahi kuliona li-giant anaconda wewe?
 
Back
Top Bottom