MAJIRA sasa wanatangaza ngono live

mimi nadhani unapofungua site fulani kuna kitu wanaita cookies,hypelinks nk
kama uko nchi fulani utakachoona ww ktk site hiyo mtu wa nchi nyingine hawezi kuona.
msiwalaumu majira laumuni internet service provider.
sometime hackers nk wanatumia mwanya huo kuweka links za namna hiyo.
 
hili ni gazeti ambalo linasomwa na mamilioni ya watanzania lakini hebu tazama hii forum yao ina mambo gani? Lakini tusiwalaumu sana inawezekana kuwa wenye gazeti la MAJIRA wameona kuwa wasomaji wao eidha wanapenda NGONO ndio maana wakaamua kuweka links za ajabu ajabu kwenye mtandao wao au ni kusudi tuuu

In short hawa jamaa wa jajira ni sawa na huyu jamaa hapo chini anayesubiri mtu ukue ili ajinyonge
01hanger_2.0.jpg




http://www.majira.co.tz/mijadala/viewforum.php?f=1&sid=e51db365569538e32acb6b6688e6480c

kazi hipo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom