I LOVE PORK BELLY, CHOPS, etc yaaaaam
Topic yako ina mapungufu meeengi sana. Japo sili kitimoto ila most of the areas umekurupuka. Hivi sio viwango vyako kaka, umeandika uongo uongo tuuu na ambao hawana elimu hii watatahayari. Sisemei kukusu kuliwa au kutokuliwa ila nasemea "umetumia uongo kutetea mada yako" wasomaji muwe makini msipotoke
kama nguruwe no pepo kwa nn mapepo yakiwaona nguruwe yanakimbia?
U mean pork fillets and pork sausages from Farmers Choice? Waoooo luv u.
Mbona mimi nikila nyama ya Nguruwe sikimbilii baharini? Wivu tu,we baki na imani yako. NB: SITAKISHARI
Mkuu kwa mlaji nguli wa kitimoto kama huyu hawezi kukuelewa..........Hebu twende tararibu na tujadili haya
-Ni uongo kuwa kwa kiasi kikubwa mapepo hayatoki baharini?
-Je ni uongo kuwa mazao ya kitimoto hayatumiki kama kinga ya mambo ya kishirikina?
-Je ni uongo kuwa Bwana Yesu hakuyaamuru mapepo yamtoke yule mtu na kuwaingia kundi la nguruwe?
-Je ni uongo kuwa nguruwe ana vimelea ambavyo ni vigumu sana kufa?
-Je ni uongo kuwa nguruwe anauawa kwa kupigwa magongo kichwani?
-Je ni uongo kuwa wenye mapepo wengi ni wanawake? Nk nk
Hebu naomba ainisha uongo wangu nami kwa roho nyeupe kabisa nitaomba radhi
Tatizo baadhi ya watu humu jf wanajifanya kujua kila kitu kumbe wasijue kwamba kuna wanaowazidi kwa vitu fulani.Kitu kingine kuna baadhi wanasoma Biblia kama wanasoma gazeti then wanatoka hapo wanajifanya kwamba wanajua Biblia.Matokeo yake inakuwa kama mtoa mada hapa mshanajr unaposema kwamba aliyetolewa pepo wachafu alikuwa mwanamke unashangaza watu wenye uelewa kuhusu hili.Hivyo basi kabla ya kuelezea kitu fulani hakikisha una uhakika nacho.Nakushauri urudi tena ukasome Biblia Takatifu kwa utulivu then rudi jamvini ukarekebishe makosa yako kwenye huu uzi wako.Mkuu embu karudie kusoma bible tena aliyekutwa na mapepo alikuwa mwanamke kweli!!!!!au unataka kuhalarisha story yako ya majini kutopatikana kwa mwanaume???.Halafu embu tuwe tunareason mambo hivi nguruwe awe mchafu,na mapepo.wakati huo huo afukuze mapepo wachafu!!!!sjui kama kuna siku ntawaelewa waislam na people kama wewe.
Kitimoto, bata, kambale na wengineo jamii hiyo hawafai kuliwa na binadam hata mungu alishasema