Naona kama vile ni mkusanyiko wa wendawazimu vile! hivi inawezekana vipi "Mazungu ya unga" yakapewa hadhi kwa kesi zao kusikilizwa faraghani? Nafikiri kodi zetu tunazowalipa hawa 'waheshimiwa' zinatumika vibaya. Binafsi nadhani ni muhimu tukawa na sheria za kuwalinda mashaidi na waendesha mashtaka badala ya kutengeneza sheria za kuwalinda hawa 'makafiri'