Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Honey nawe, aaah! Sasa hapa si tuko kwenye utani wa ki chit chat? Usikasirike bhana mie ntakonda jamani.
uuupsii! Angalau nipumue!
Honey nawe, aaah! Sasa hapa si tuko kwenye utani wa ki chit chat? Usikasirike bhana mie ntakonda jamani.
We, nani kakudanganya? Hapo naitumia ile methali ya 'ukila na kipofu' lol.. mimi na wewe mpaka kifo kitutenganishe!uuupsii! Angalau nipumue!
We, nani kakudanganya? Hapo naitumia ile methali ya 'ukila na kipofu' lol.. mimi na wewe mpaka kifo kitutenganishe!
Utani mwingine unakaribia ukweli ujue huyo Filipo ameshaanza kujishaua ulivyo msifia vile, nitamchanachana na viwembe huyo
Nakupenda peke ako jamani khaaa! Ngoja ni log out manake naona ndoa inataka kuingia hatarini! Baby usichelewe kuja nyumbani eeh!Yangu macho
Mtoto analalamika hajapewa uji mpaka sahizi lol. Chama nazo zimeliwa na dady njiani tehe tehe!
Mtoto amenuna!hahahaha zinakuja mamito baba alipitiwa....
Labda kama sitokei kilimanjaro! Ikibidi kung'oana kucha na meno bila ganzi ntafanya!hutupati! Tupo imara!
hapo ndipo ulipokosea. Yaaniumekwenda kinyume!
Alafu inaonyesha wewe ni mtamu sana ehe!Labda kama sitokei kilimanjaro! Ikibidi kung'oana kucha na meno bila ganzi ntafanya!
Nakupenda peke ako jamani khaaa! Ngoja ni log out manake naona ndoa inataka kuingia hatarini! Baby usichelewe kuja nyumbani eeh!
Hata mimi leo sijamuona kabisa! Mpigie tujue uzima wake, usijekuta keshafumaniwa mahali!We chezea akili yangu utaiona hiv brada Bishanga mbona sijamuona
Labda kama sitokei kilimanjaro! Ikibidi kung'oana kucha na meno bila ganzi ntafanya!
Alafu inaonyesha wewe ni mtamu sana ehe!