dazipozi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 1,137
- 106
Asante sanaaaaaaaaaaaa nimerudi sasa baada yakupotea muda kidogo
Karibu tena jamvini..
Karibu tena jamvini..
Honey nawe, aaah! Sasa hapa si tuko kwenye utani wa ki chit chat? Usikasirike bhana mie ntakonda jamani.We vipi mbona hueleweki? Unantia hasira
Yaani in short, Virgin,hata Rutta anajua maana yake ndo nalala nae.
We vipi mbona hueleweki? Unantia hasira
Honey nawe, aaah! Sasa hapa si tuko kwenye utani wa ki chit chat? Usikasirike bhana mie ntakonda jamani.
Very sorry darling!Ameniudhi sana nitamtandika bure makofi eh mola niepushie
Hahahahahahaha!karibu sana mgeni! Pita hadi ndani!
Mtoto analalamika hajapewa uji mpaka sahizi lol. Chama nazo zimeliwa na dady njiani tehe tehe!Virgin ya wapi... dadavua manake siku hizi zimeongezeka na ni rahisi pia kutoka kama wadada wa mbagala kutokana na tabu ya usafiri wanajikuta zimeshatoka.. wakati wanadandia kwenye viooo