Source: Tovuti ya CHADEMA
They are CCM PARETO if you have ever read Pareto Principle
Get lost. This is the blood and soul of CCM.
remove them and you are sure the life of CCM is over!!!
CCM's HEART BEAT is Rostam Aziz
CCM breath through Edward Lowasa
All the others are just the systems of life in CCM.
Chama kitawafukuza uanachama
labda tovuti ya chadema iko hacked.
kwanza atakaye press hawa waondoke ameshajitakia death sentence
List of Shame
1. Daudi Balali (Marehemu?)
2. Andrew Chenge
3. Basil P. mRAMBA
4. Gray S. Mgonja
5. Patrick W.R. Rutabanzibwa
6. Nimrod Elirehema Mkono
7. Nazir Karamagi
8. Rostam Aziz
9. Edward N. Lowassa
10. Benjamin W. Mkapa
11. Mrisho J. Kikwete
Source: Tovuti ya CHADEMA. Bofya: Orodha ya Mafisadi (List of Shame)
Hiyo ni kweli. Huwezi kumfukuza mwenye nyumba ndani ya nyumba yake. Na wewe mtegemezi utakula wapi? Tafakari.Wale wengine wataondoka na kuwaachia chama
Haya ndiyo madhara ya kukopi na kupasti,mtu aliyekufa anawezaje kupewa siku 90!au mnataka afufuke!mtoa mada hujafanikiwa kufikisha ujumbe wako!pole sana mkuu!!
Swali la kujiuliza ni je,hii ni ngozi mpya au ni re-cycling? Unachukua material za vitu vya zamani unatengeneza bidhaa mpya. Zinang'ara ndiyo, lakini uimara wake ni wa wasi wasi.HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM), imetangaza safu mpya ya uongozi wa juu wa chama hicho watakaoongoza Sekretarieti yake na Kamati Kuu (CC) huku vigogo wengi wakianguka na kisha kutoa siku 90 kwa watuhumiwa wa ufisadi kujiondoa wenyewe NEC ya chama hicho vinginevyo watawajibishwa.
Katika uteuzi huo, Wilson Mkama amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu, nafasi iliyokuwa ikishikiliwa na Yusuf Makamba. Mkama atasaidiwa na Naibu Makatibu Wakuu (Bara na Visiwani), John Chiligati na Vuai Ali Vuai. Katibu mpya wa Itikadi na Uenezi ni Nape Nnauye, huku, Mwigulu Mchemba akichaguliwa kuongoza Idara ya Fedha na Uchumi. Mkuu wa Oganaizesheni ni Asha Abdallah Juma na Katibu wa Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Januari Makamba.
Waliochaguliwa kuunda Kamati Kuu ni Abdulrahman Kinana, Zakia Meghji, Dk Abdallah Kigoda, Pindi Chana, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kagera, Constancia Buhiye, William Lukuvi na Steven Wassira.
Kwa upande wa Zanzibar, waliochaguliwa ni Dk Hussein Mwinyi, Dk Maua Daftari, Samia Suluhu Hassan, Shamsi Vuai Nahodha, Omar Yusuf Mzee, Profesa Mbarawa Mnyaa na Muhammed Seif Khatib..........................................
Source: Mwananchi ya leo
duh, kama itakua hivyo basi CCM itakufa. ikumbukwe hiyo ndio roho ya CCM. ikumbukwe kua hao ndo mihimili ya chama kiuchumi na kisiasa.so CCM kwaheriiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!
Hao ni wachache sana.