Meitinyiku L. Robinson
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 412
- 90
Wakati mwingine hata haihitaji kuwa mwana CCM katika kuliona ama kulichangia hilo......
Kumbe na wewe kibaraka umeona hilo eeh?Wakati mwingine hata haihitaji kuwa mwana CCM katika kuliona ama kulichangia hilo......
Kumbe na wewe kibaraka umeona hilo eeh?
Cha msingi ni kuwachuja wote na kubakiza raia wa kawaida!
Hivi hakunaga kazi zingine za profession zao?
kwanini Riziwani hakugombea?
Ben hii hongera yako unamaanisha kweli?
Huyu jamaa alichakachua mahesabu ya TTCL halafu matokeo yake tukalipwa kiduchu wakati wa ubinafsafsishaji na balance jamaa wakagoma kulipa kwa sababu eti mahesabu yalikaa vibaya!!
Wanachama kadhaa wa CCM wamesikitishwa na majina ya wanachama waliopitishwa kuwania ubunge wa Afrika Mashariki.Wamesema kwamba kitendo cha chama chao kupitisha idadi kubwa ya majina ya watoto wa vigogo ni ishara tosha kwamba chama chao kimegeuka kuwa cha kisultani.Pia wamesema kitendo hiki kitazidi kuwaweka mbali na wananchi.Baadhi ya watoto wa vigogo waliopitishwa ni mtoto wa Nyerere,mtoto wa Mwinyi,mtoto wa Billali na mtoto wa Malecela.SOURCE:TANZANIA DAIMA.
MKUU MBONA UNAANDIKA KAMA UNAKIMBIKZWA?tulianlikuwa nmesahau ctali profile ya willy maana namjua hadi mzee wake. waliobako naombeni profile zao. nape waweza nsaidia kwa hili.
Watoto wa vigogo kibao. Mambo ya kisultani haya!
mmmh! mkuu unampa hongera ya nini wakati hii ni hatua ya awali sana! nafasi zenyewe kama sikosei ni NANE tu
Majibu yako hapa chini mkuu EDSON........Ben hii hongera yako unamaanisha kweli?
Great thinkers amempa hongera kupitishwa na NEC a journey start with first step! Edson wewe pia ni katika wale wanaoamini siasa za chuki? I mean zile za kwanini Zitto ana urafiki na January? kama ndio basi watu kama nyie mkipata tu madaraka............................................
kwanini Riziwani hakugombea?