chatts55
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 600
- 97
kwaiyo hawa mpaka wapate ambao hawajakosea ndio wao wapate huo mkopo kama second round au
inawezekana ambao hawajakosea wameula
kwaiyo hawa mpaka wapate ambao hawajakosea ndio wao wapate huo mkopo kama second round au
inawezekana ambao hawajakosea wameula
dah! mbona kama wote tu walio apply wamekosea,nimeishia majina 49831....
kwaiyo wasiokosea wanakula kwanza mkopo then makombo yaliyobak ni ya hawa waliokosea? Lakn v2 vngne n uzembe hv kwl m2 hanasahau kuweka pcha au chet cha kuzaliwa bora aliyesahau sahini coz n kujisahau 2 lakn c o pcha chet
ebu kadilia kama wangap hv
pipo ka 60 naa iv
inawezekana ambao hawajakosea wameula
mbona idadi kubwa sana.
je walioko jkt inAkuaje?
ingia kwa website ya loan board ucheki jina lako kama lipo www.heslb.go.tz
kama wewe unaitwa JOHN HAMIS MASANJA. Kaangalie kwenye list ya M-M
hapo hawajaanza na jna la baba
mbona idadi kubwa sana.
je walioko jkt inAkuaje?
dah! mbona kama wote tu walio apply wamekosea,nimeishia majina 49831....
Thanks God rungu limeniepuka maana nimelazimika kuamka na kukagua photocopy za form nilizotuma baada ya kulikosa jina langu kwenye list
idadi hiyo haifiki. Kuna list13 na ktk list hizo hakuna yenye majina zaidi ya 700
linaweza lisiwepo lakini ikala kwako vile vile