Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,280
- 3,345
angalia hapo kwenye pdf yao mwanzo tu utaonaAhahah.. Mkuu uliweka uhakika nn?
Mkuu vipi unafikia stage ya kujichukia? Maisha bado yanasonga...
Hahahahah hahah unataka kimbilia wapi baab??
Sio kwamba huna vigezo mzee, may be ata barua yako hawakuifugua maana nasikia application zilikua million kadhaa. So, chukulia kama haikua ridhiki.
Mkuu, maisha ya sasa ni wewe na maombi tu ndio vinaweza kukutoa. Kumtegemea binadamu ni ufinyu wa akili mkali wangu.
Tumia "Find in this page" upate uhakika
hahhaha babu ulinunua kazi PCCB? may be kilikua kipimo kama wewe ni unafaa au?
Hapana. Huna haja ya ku-blame juu ya course uliosomea. Tafuta kosa jingine, tuendelee kuapply. Tumetoswa wengi tu mzee.
Ili nalo neno...
Kwanini unasema watu wa Law tupu?