Majina ya vituo vya daladala sehemu mbalimbali

Kuna mtu alikua anaenda Korogwe Tanga kwa mara ya kwanza akashukia Korogwe ya Kimara.........Korogwe....Korogwe jamaa nipo.....akashuka (ni hivi vi costa vinavyosanya)
 
Kuna kituo kile cha sinza kwa Remmy konda utasikia " wa kwa marehemu wapo?"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom