Pale kwa Remmy Sinza bado wanaita hivyo?
Wanaita kwa marehemu mpo?
Moshi kuna standa ya kwa mbwa haruki mkikaribia kufika konda anauliza wale wa mbwa.
CCM mbeya duh inabidi upitishe kituo tu maana utasikia konda akisema ccm mpo?
Umenikumbusha teja mmoja kitambo kidogo alikua manzese anaitia magari ya mwenge, ia iya akimaanisha sinza mia na mapengo yake.
hiki ni kituo cha msaada kona ya kuelekea Leaders ........utasikia nyege nyege......................kilima nyege
kwa Bi Nyau alikua anafuga mapaka wengi sana mkisimama tu unayaona, lakini ameshafarikiPale kwa Remmy Sinza bado wanaita hivyo?
pale kituo cha uwanja wa ndege....utaskia njia panda ya ulayaa...