Midavudavu
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 287
- 59
Jamani kuna baadhi ya majina ya vitu na watu hayatamkwi kwenye baadhi ya mikoa nilipata aibu Mtwara mfano;
1. Mkoa: Mtwara, Majina ambayo ni matusi lakini Dar si matusi; Niliuliza embe ng'ongo bei gani, Nikasema nina rafiki yangu anaitwa Mr. Mwandu walinicheka sana.
2..................................................................
3...........................................................
4............................................................
Endelea tafadhali kama kuna jina la mtu au kiti kwenu ni tusi ili tukifika huko tusilitumie neno hilo au tujue wenyeji wanatamka vipi. Mfano Mtwara embe ng'ongo inaitwa embe gongo.
1. Mkoa: Mtwara, Majina ambayo ni matusi lakini Dar si matusi; Niliuliza embe ng'ongo bei gani, Nikasema nina rafiki yangu anaitwa Mr. Mwandu walinicheka sana.
2..................................................................
3...........................................................
4............................................................
Endelea tafadhali kama kuna jina la mtu au kiti kwenu ni tusi ili tukifika huko tusilitumie neno hilo au tujue wenyeji wanatamka vipi. Mfano Mtwara embe ng'ongo inaitwa embe gongo.