Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,738
- 155,421
Kuwa makini sana unapotaka kununua simu. Jiepushe na majina haya:-
Nokla, ukiwa na pupa au haraka au usipokuwa makini utaweza kufikiri kwamba ni Nokia.
Pia siku hizi kuna simu zako ziko branded kwa jina la Nokia, vijijini wengi wanadanganywa kuwa hizo ni Nokia orijino.
Sansung, hapo ndio wanapokukoroga ili wakukamue kiulani na Samsung toy.
Pia wana Brack Belly, hii imekaa kama Black Berry, nlishangaa nlipoiona moja inabeba lain tano.
Wana brand nyingine kama Bluetooth, Science, nk (majina ya ajabu ajabu).
Simu za Mchina zote zina os moja na zinafanana kwa kila kitu kwa function zake isipokuwa makava, majina na idadi ya lain inazobeba
Nokla, ukiwa na pupa au haraka au usipokuwa makini utaweza kufikiri kwamba ni Nokia.
Pia siku hizi kuna simu zako ziko branded kwa jina la Nokia, vijijini wengi wanadanganywa kuwa hizo ni Nokia orijino.
Sansung, hapo ndio wanapokukoroga ili wakukamue kiulani na Samsung toy.
Pia wana Brack Belly, hii imekaa kama Black Berry, nlishangaa nlipoiona moja inabeba lain tano.
Wana brand nyingine kama Bluetooth, Science, nk (majina ya ajabu ajabu).
Simu za Mchina zote zina os moja na zinafanana kwa kila kitu kwa function zake isipokuwa makava, majina na idadi ya lain inazobeba