Kakulwa P
JF-Expert Member
- Feb 8, 2012
- 200
- 72
Kiambatanisho kinaonyesha zaidi ya majina 50 ya makarani wa sensa kata ya makuburi Jimbo la ubungo yanajirudia. Tunajiuliza inaluwaje jina namba 3 ADELA THOMAS MANKA lionekane tena namba 89 na majina mengine kama mtakavyoyasoma. Mfano jina 4 lipo tena 90, 5 lipo tena 91, 6 lipo tena 93, 7 lipo tena 94. Nimepitia ofisi ya kata asubuhi nikawaona vijana wengi wanalalamika wamepeleka kwa Mwenyekiti wa Mtaa na Diwani wa Kata.