Majina ya Madhehebu Kuendana na Asili/Waasisi Wake

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,145
13,216
Hii ni tafakuri yangu;
  1. Awali ilikua dini ya Roma ama Roman baadae ikasambaa duniani kote (catholic) na ikawa Roman Catholic.
  2. Martin Luther alikua na mapingamizi 95 dhidi ya dini ya Roma wakati akiwa mtumishi na akajitenga kuanzisha kanisa nchini mwake ndilo leo huitwa Lutheran yaani wafuasi wa Luther na ndio vile Wajerumani wengi ni walutheran ila imeenea duniani kote
  3. neno Anglican linamaanisha England na linashabahiana kidogo na story ya Luther na muasisi wake aliamua kuanzisha kanisa nchini mwake kupingana na urumi na kuitwa Anglican church ama church of england na baadae kusamba duniani kote ila naamibiwa huwezi kuw mtawala england kama wewe si muanglikana
  4. Baptist ni asili ya watu waliofuata ubatizo wa maji mengi kwenye bibilia na kujitenga na ule wa kunyunyizia
  5. Methododist ni vijana wasomi waliokuwa hawaridhishwi na mwenendo wa taratibu za kanisa na kanzisha taratibu bora zaidi za kuabudu (methods)
  6. Seventh Day Adventist lina taathira ya kuweka mkazo katika kuabudu siku ya saba ya juma (seventh) badala ya Jumapili lakini pia utabiri wa majirlo wa William Miller ndio neno Adventists
  7. ........................ongeza...................................
Upeo wangu wa kutafakari ila wote ni waabudu wa Mungu mmoja na wanatumia Bibilia moja.
 
Hizi dini hakuna mweusi hata mmoja mwanzilishi ila zinawaumini weusi wengi.
Na sababu ni kwamba zinasambazwa kwa juhudi na wahusika.
Biashara tu.


Wazungu kwenye hii hila walituweza.
walipambana dini ya weusi (jadi) itokomee kabisa
 
Sijui kwa Kiswahili wanaitwa nini, kwa Kiingereza ni Eastern Orthodox Church (EOC), wapo hasa Ulaya Mashariki.

Greek Orthodox Church
Russian Orthodox Church
 
Jimena said:
Mkuu uko sawa kabisa,ila sasa
haya makanisa siku hizi yanaota kama uyoga...

Swadakta Princess J

Hapa kwetu kuna mdau kaanzisha kanisa la kuitwa Obadia tuselebuke church

Waumini wengi ni wanamama wa kigogo
Si unajua wanawake wa kigogo walivyopokea neema ndogondogo za Allah?

Basi huwa tuna enjoy sana masomo ya Jioni

Na aliyewaruhusu wanawake wahubiri ni nani?

Maana juzijuzi nimepitia kanisa moja hivi hapa uswazi,nilichokiona sijaamini

Binti na sketi yake fupi yenye mpasuo,naye yupo madhabahuni anatoa soma.Lol
 
Swadakta Princess J

Hapa kwetu kuna mdau kaanzisha kanisa la kuitwa Obadia tuselebuke church

Waamuni wengi ni wanamama wa kigogo
Si unajua wanawake wa kigogo walivyopokea neema ndogondogo za Allah?

Basi huwa tuna enjoy sana masomo ya Jioni

Na aliyewaruhusu wanawake wahubiri ni nani?

Maana juzijuzi nimepitia kanisa moja hivi hapa uswazi,nilichokiona sijaamini

Binti na sketi yake fupi yenye mpasuo,naye yupo madhabahuni anatoa soma.Lol
huenda ni hili tatizo la ajira
 
Amavubi said:
huenda ni hili tatizo la ajiri
Huenda kiongozi

Manake huku kwetu uswahilini,kuna makanisa mengi ya mabati

Halafu hayapo mbalimbali
Pia mengi ni ya hawa walokole,TAG,EFATHA.etc
 
Hii ni tafakuri yangu;
  1. Awali ilikua dini ya Roma ama Roman baadae ikasambaa duniani kote (catholic) na ikawa Roman Catholic.
  2. Martin Luther alikua na mapingamizi 95 dhidi ya dini ya Roma wakati akiwa mtumishi na akajitenga kuanzisha kanisa nchini mwake ndilo leo huitwa Lutheran yaani wafuasi wa Luther na ndio vile Wajerumani wengi ni walutheran ila imeenea duniani kote
  3. neno Anglican linamaanisha England na linashabahiana kidogo na story ya Luther na muasisi wake aliamua kuanzisha kanisa nchini mwake kupingana na urumi na kuitwa Anglican church ama church of england na baadae kusamba duniani kote ila naamibiwa huwezi kuw mtawala england kama wewe si muanglikana
  4. Baptist ni asili ya watu waliofuata ubatizo wa maji mengi kwenye bibilia na kujitenga na ule wa kunyunyizia
  5. Methododist ni vijana wasomi waliokuwa hawaridhishwi na mwenendo wa taratibu za kanisa na kanzisha taratibu bora zaidi za kuabudu (methods)
  6. Seventh Day Adventist lina taathira ya kuweka mkazo katika kuabudu siku ya saba ya juma (seventh) badala ya Jumapili lakini pia utabiri wa majirlo wa William Miller ndio neno Adventists
  7. ........................ongeza...................................
Upeo wangu wa kutafakari ila wote ni waabudu wa Mungu mmoja na wanatumia Bibilia moja.

hapo kwenye red; Hakuna dini ya Roma wala Hakuna kitu kinaitwa Roman Catholic...Ila neno Roman lilipachikwa na Anglican kipindi walipojitenga na kanisa katoliki...

naendelea kusoma maana nimeanza kusoma tuu nikakutana na makosa kibao..
 
Hii ni tafakuri yangu;
  1. Awali ilikua dini ya Roma ama Roman baadae ikasambaa duniani kote (catholic) na ikawa Roman Catholic.
  2. Martin Luther alikua na mapingamizi 95 dhidi ya dini ya Roma wakati akiwa mtumishi na akajitenga kuanzisha kanisa nchini mwake ndilo leo huitwa Lutheran yaani wafuasi wa Luther na ndio vile Wajerumani wengi ni walutheran ila imeenea duniani kote
  3. neno Anglican linamaanisha England na linashabahiana kidogo na story ya Luther na muasisi wake aliamua kuanzisha kanisa nchini mwake kupingana na urumi na kuitwa Anglican church ama church of england na baadae kusamba duniani kote ila naamibiwa huwezi kuw mtawala england kama wewe si muanglikana
  4. Baptist ni asili ya watu waliofuata ubatizo wa maji mengi kwenye bibilia na kujitenga na ule wa kunyunyizia
  5. Methododist ni vijana wasomi waliokuwa hawaridhishwi na mwenendo wa taratibu za kanisa na kanzisha taratibu bora zaidi za kuabudu (methods)
  6. Seventh Day Adventist lina taathira ya kuweka mkazo katika kuabudu siku ya saba ya juma (seventh) badala ya Jumapili lakini pia utabiri wa majirlo wa William Miller ndio neno Adventists
  7. ........................ongeza...................................
Upeo wangu wa kutafakari ila wote ni waabudu wa Mungu mmoja na wanatumia Bibilia moja.

Umeandika mambo ya mitaani mengi na story za vijiwe vya kahawa...
 
Hizi dini hakuna mweusi hata mmoja mwanzilishi ila zinawaumini weusi wengi.
Na sababu ni kwamba zinasambazwa kwa juhudi na wahusika.
Biashara tu.


Wazungu kwenye hii hila walituweza.
wasabato Masalia
Ngurumo ya upako
The pool of sloam
Manabii uchwara wote ..........zote za waafrica
 
Sijui kwa Kiswahili wanaitwa nini, kwa Kiingereza ni Eastern Orthodox Church (EOC), wapo hasa Ulaya Mashariki.

Greek Orthodox Church
Russian Orthodox Church
Orhodox Church ndilo kanisa la kwanza kujitenga na Catholic Church miaka 1000 nyuma.... lilijitenga likajiita Eastern Church na Catholic likawa ni Westen Church...Ila hamna tofauti sana na Kanisa Katoliki...
Kanisa la Orthodox lipo sana Russia, Ukraine na Middle east.. kingine ndio kanisa la pililenye waumini wengi zaidi dinia baada ya Catholic Church takribani waumini mil 600..
 
Orhodox Church ndilo kanisa la kwanza kujitenga na Catholic Church miaka 1000 nyuma.... lilijitenga likajiita Eastern Church na Catholic likawa ni Westen Church...Ila hamna tofauti sana na Kanisa Katoliki...
Kanisa la Orthodox lipo sana Russia, Ukraine na Middle east.. kingine ndio kanisa la pililenye waumini wengi zaidi dinia baada ya Catholic Church takribani waumini mil 600..
we jamaa unonekana una nondo sana
 
Mkuu uko sawa kabisa, ila sasa haya makanisa siku hizi yanaota kama Uyoga
Mtu akishakariri verse zake 10 kutoka kwenye biblia basi anaanzisha la kwake nyumbani

Hiyo tabia ipo sana Marekani. Karibu kila Mtaa wana kanisa lao na waumini wake.

Wanapenda uhuru wa kuitafsiri biblia wanavyopenda na Marekani upo huru kuabudu unavyopenda.

Serikali na Dini zimetengana. Ndiyo maana, ukifunga ndoa, lazima uende kuandikisha bomani. Jaji au "justice of the peace" anapiga saini, ndoa inakuwa halali. Hamna nafasi ya saini ya Askofu wala Shehe katika certificate.

Niongeze, Shehe au Askofu anaweza kuozesha lakini sharti awe na leseni ya kuozesha siyo tu aozeshe kama mtu wa dini.
 
Hii ni tafakuri yangu;
  1. Awali ilikua dini ya Roma ama Roman baadae ikasambaa duniani kote (catholic) na ikawa Roman Catholic.
  2. Martin Luther alikua na mapingamizi 95 dhidi ya dini ya Roma wakati akiwa mtumishi na akajitenga kuanzisha kanisa nchini mwake ndilo leo huitwa Lutheran yaani wafuasi wa Luther na ndio vile Wajerumani wengi ni walutheran ila imeenea duniani kote
  3. neno Anglican linamaanisha England na linashabahiana kidogo na story ya Luther na muasisi wake aliamua kuanzisha kanisa nchini mwake kupingana na urumi na kuitwa Anglican church ama church of england na baadae kusamba duniani kote ila naamibiwa huwezi kuw mtawala england kama wewe si muanglikana
  4. Baptist ni asili ya watu waliofuata ubatizo wa maji mengi kwenye bibilia na kujitenga na ule wa kunyunyizia
  5. Methododist ni vijana wasomi waliokuwa hawaridhishwi na mwenendo wa taratibu za kanisa na kanzisha taratibu bora zaidi za kuabudu (methods)
  6. Seventh Day Adventist lina taathira ya kuweka mkazo katika kuabudu siku ya saba ya juma (seventh) badala ya Jumapili lakini pia utabiri wa majirlo wa William Miller ndio neno Adventists
  7. ........................ongeza...................................
Upeo wangu wa kutafakari ila wote ni waabudu wa Mungu mmoja na wanatumia Bibilia moja.
Hawakawii kusema ushindwe ktk jina la yesu, n pepo tu anakusumbua kupotosha watu
 
Back
Top Bottom