Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,196
- 113,481
- Thread starter
- #41
Limi (Lemi) = Sunshine
Mihayo = Maneno
Misoji = Machozi
Mihayo = Maneno
Misoji = Machozi
Munge, Shibughi, Nyonjiwa, Shingughu!Binafsi majina ya kike wa Wasukuma hunisuuza sana moyo wangu. Ni jina gani la kike la Kisukuma ambalo wewe mwana JF unalipenda? Mimi ninayo kadhaa....
Limi
Misoji
Mihayo
Kabula
Kudahwa
Nsungi
Nana...........
Hapo nilipopigia mstari:Naomba unisaidie neno lenye maana hiyohiyo kwa Kiswahili tafadhali.
hollo
bageme
kwiyukwa
mahande
magulija
sholla
Lega
Welinda
Dalahile
...Hilo jina la nyamizi kwa kweli hunikumbusha mbali sana mwenzenu!!!mungule
nyamizi
kwangu
............
Na kabila lao - mama yaani wanyamwezi ni haya hapa (Exclusive)
Kapemba
Nyamizi
Nsembo
Kasinde
Kalunde
Masika
Nkuwo
Kalembo
Mwasi
Mantinde
Mbuwu
Mengine yakihitajika.......
...Hilo jina la nyamizi kwa kweli hunikumbusha mbali sana mwenzenu!!!
utani
Kijana .. Kabula nzogho nakuwhile.
Kabula.. Nduhu nene.
Kijana kamvutia kabula kichochoroni.
Kabula...bhebheshi lakagashi,abhiyo bhatumwaga na dada.(wewe acha mwenzio nimetumwa na
dada.)
Kijana...ninagheshi kadololo duhu.(nipe kidogo)
Kijana kamaliza haja yake.
Kabula...Wapandigijaga maki lulu? u bhebhe wachafulaga abhiyo isabhuni nduhu ninageshi igana.
(Umepata nini sasa?wewe umewachafua wenzako na sabuni hamna nipe mia basi)
Kijana,
Mengine niliandika jana kama Mwilwa, Nyome, Nyanso, Kakuwa, (Matinde na siyo Mantinde), Nsimbo, Mwamvula, nk.
Vapanga wee Mgosya? Ndinakwandikila PM lakini selesele. Vagisye kwenuko.
Nyamizi hata humu JF tuna dada yetu anaitwa hivyo. Ajabu ni kuwa hilo ni jina lake haswaaa.