Majina ya Kihaya ya kike

Kokwijuka,Mutongole,Kokuberwa,Kanule,Kokubanza,Kokunywegera,Kemilembe,Kabanza,Mukatanagi,Genyana,Mukanyiginya,Katangi,Kokuangalira,Kokukushubira,Sima,Mukaire,Mamerita,Kanule,Mbandwa,Kashubi,Shubira,Ngonzi,Byera,Kanweri, eh kazi kwako ndugu.
 
Kokwijuka,Mutongole,Kokuberwa,Kanule,Kokubanza,Kokunywegera,Kemilembe,Kabanza,Mukatanagi,Genyana,Mukanyiginya,Katangi,Kokuangalira,Kokukushubira,Sima,Mukaire,Mamerita,Kanule,Mbandwa,Kashubi,Shubira,Ngonzi,Byera,Kanweri, eh kazi kwako ndugu.
Duuh, inatosha kaka...
 
Hapana mkuu....Hukumtendea haki.........Kwa jinsi nilivomuelewa japo kwa uchache ni kama kapata binti(mtoto wa kike0 na anategemea kumpatia jina lenye asili ya kihaya(lisilo anza na Koku0 so kaja hapa kuwaomba wadau(ukiwemo wewe mumsaidie kumchagulia jina kwa ajili ya binti yake huyo..........................Soma katikati ya msitari utamuelewa
Utakuwa akili haina akili kama unategemea jina kutoka JF kwani majina ya watoto hutokana na na matukio au kitu kinachofanana na hapo!
 
Kwani KOKU maana yake nini? Maana nimeona ndio kianzilishi cha majina mengi... ila majina ni mazuri nimeyapenda sana.
 
Back
Top Bottom