Mh, huku nimeingia siko manake hizo mofimu zinazotumika nahisi kudata!?!?!**:eyebrows:*!?
1. Mallya
2. Kibona
3. Kirawira
4. Kinabo
5. Kweka
6. Mlingi
7. Mushi, endeelea!! mkuu
?....?Nani amekwambia wanaona aibu.Aibu unaiona wewe usiejua maana ya jina Mboro.Mimi ni Mboro and Im proud.
?....?
Mkaleso
Mkashai
Ruaichi
ngeleshi
makimboka
Aikunda
nsiande
ksobori
mamdeny
1. Mallya
2. Kibona
3. Kirawira
4. Kinabo
5. Kweka
6. Mlingi
7. Mushi, endeelea!! mkuu
Mkuu jaribu kuuliza usibishe KIRAWIRA ni jina la kichaga
Kule Rombo Usseri/Tarakea
Mboro ni risasi
Mbo ni Nyati
Mseng.e ni fimbo
Mkum* ni upepo
Lugha za watu bana...
Labda kinaboMkuu hilo jina la pili nalo la kichaga?
au mbeya nayo ipo kilimanjaro?