Mangi wa Rombo
Senior Member
- Sep 25, 2014
- 172
- 104
Duuh! Nimeanza vibaya katika safar yangu ya kuomba kaz ndo ilikuwa kazi ya kwanza kuomba na nimetupiliwa mbali ila nawatakia kila la heri mliofanikiwa kuitwa
Soma post ni ya lini na wewe usije ukajitia kitanzi bureeee! Post ya mwaka juzi hii sijui hata nani kaifufua!