Tangopori JF-Expert Member May 11, 2012 1,629 1,282 May 11, 2012 #1 Wanajf mtaani huwa nakutana na haya majina dada zetu wanaitwa. Demu manzi mtoto kitoga sukari..... Ebu ongezea ya kwako.
Wanajf mtaani huwa nakutana na haya majina dada zetu wanaitwa. Demu manzi mtoto kitoga sukari..... Ebu ongezea ya kwako.
Dr Lizzy Platinum Member May 25, 2009 30,807 59,289 May 11, 2012 #2 Yalishaorodheshwa. . .na yenu pia!!!
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,163 May 11, 2012 #3 asante Lizzy. . . . Na mtoa mada pia. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Junior. Cux JF-Expert Member Feb 3, 2011 5,319 3,767 May 11, 2012 #6 mh mi napita tu hapa, kwetu uzunguni sa utasikia.. bby hun cwt choclat vanilla flwr cjui wenzangu wa vingunguti ka ni ze same??
mh mi napita tu hapa, kwetu uzunguni sa utasikia.. bby hun cwt choclat vanilla flwr cjui wenzangu wa vingunguti ka ni ze same??