M mabwepand Member Jul 16, 2012 86 22 Aug 7, 2012 #1 Tunashangaa majina ya sensa wilaya ya hai hadi muda huu hawajabandika!!!!!Tatizo nini ufisadi au kukuchakachua
Tunashangaa majina ya sensa wilaya ya hai hadi muda huu hawajabandika!!!!!Tatizo nini ufisadi au kukuchakachua
Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 Aug 7, 2012 #2 Hakuna wilaya tanzania hii yenye watendaji wabovu kama wilaya ya hai.hapo wako wanachakachua kwanza