Mjamaa1
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,290
- 5,461
Duh polisi tena? Ni polisi hawa wa IGP Mwema ama ni Military Police (MP) wa Gen. Mwamunyange?
Katika operation kama hizo polisi na mageleza wachache wanakuwepo. Huyo ni polisi wa Afande Mwema...
Duh polisi tena? Ni polisi hawa wa IGP Mwema ama ni Military Police (MP) wa Gen. Mwamunyange?
Majina ya askari saba wa Tanzania waliokufa kwenye shambulio la ghafla mjini Darfur yamepatikana.
Askari hao waliokufa ambao walikuwa kwenye vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa huko nchini Sudan ni :-
1. Sajenti Shaibu Othuman,
2. Koplo Oswald Chaula,
3. Koplo Mohamed Juma,
4. Koplo Mohamed Chikilizo,
5. Pte. Rodney Ndunguru,
6. Pte. Peter Werema,
7. Pte. Fortunatus Msofe.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana kwenye mtandao ni kwamba askari hao walikwenda kujaribu kumwokoa mwenzao (ambaye hakutajwa) ambaye alisemekana kutekwa na vikosi vya waasi nchini humo.
Wakati wakijiandaa, ghafla walizingirwa na askari hao waasi na kisha kushambuliwa kwa risasi hadi kufa.
Haikufahamika hali ya askari huyo ambaye alidaiwa kutekwa kama bado yu hai ama ni miongoni mwa waliokufa.
Mungu azilaze roho za askari wetu mahali pema peponi, Amina.
Khaa!! Mzee Mwanakijiji kwani hao sio kaka zako?This is a sad news; nawapa pole familia za marehemu wote, JWTZ na Watanzania wenzangu kwa pigo hili. Moyo wangu ulishtuka kwani nina dadangu ambaye yuko huko kwa kazi hii. Mungu azilaze pema roho za marehemu na kuwafariji familia.
Nasikitika nahao waislam
mauti yamewakuta katika mwezi mtukufu Wa ramadhani walitakiwa wafanye
ibada
This is a sad news; nawapa pole familia za marehemu wote, JWTZ na Watanzania wenzangu kwa pigo hili. Moyo wangu ulishtuka kwani nina dadangu ambaye yuko huko kwa kazi hii. Mungu azilaze pema roho za marehemu na kuwafariji familia.
Ni wanajeshi wa umoja wa mataifa waliotokea Tanzania?
Hii ni habari mbaya. Nawapa pole Watanzania wenzangu na familia za marehemu kwa ujumla. DARFUR ni eneo la hatari, nashukuru nilikwenda huko na kumaliza kazi yangu salama some 2 years back.
Tiba
Pole sana mzee, kwa kuwa nakuaminia sana kwa busara, hebu tuambie AMANI HUA INALINDWA!!!!?
Tambua uwepo wa marehemu wafuatao Koplo Oswald Chaula,Pte Peter Werema,Pte Rodney Ndunguru,Pte Fortunatus Msofe.Koplo Kimaro, Afande Massawe na Konstebo Shirima walikuwa eneo lengine la kazi.Mungu azilaze mahala pema roho za marehemuPolis konstebo mohamedi
Majina ya askari saba wa Tanzania waliokufa kwenye shambulio la ghafla mjini Darfur yamepatikana.
Askari hao waliokufa ambao walikuwa kwenye vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa huko nchini Sudan ni :-
1. Sajenti Shaibu Othuman,
2. Koplo Oswald Chaula,
3. Koplo Mohamed Juma,
4. Koplo Mohamed Chikilizo,
5. Pte. Rodney Ndunguru,
6. Pte. Peter Werema,
7. Pte. Fortunatus Msofe.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana kwenye mtandao ni kwamba askari hao walikwenda kujaribu kumwokoa mwenzao (ambaye hakutajwa) ambaye alisemekana kutekwa na vikosi vya waasi nchini humo.
Wakati wakijiandaa, ghafla walizingirwa na askari hao waasi na kisha kushambuliwa kwa risasi hadi kufa.
Haikufahamika hali ya askari huyo ambaye alidaiwa kutekwa kama bado yu hai ama ni miongoni mwa waliokufa.
Mungu azilaze roho za askari wetu mahali pema peponi, Amina.
Upumbavu upi? unayafurahia mateso wanayoyafanya wanajeshi huko Mtwara?
Duh polisi tena? Ni polisi hawa wa IGP Mwema ama ni Military Police (MP) wa Gen. Mwamunyange?
Mkuu, naamini Ng'wanangwa ameliweka vizuri hili. These people have died for the cause which Tanzania believe it is worthy fighting for and so they have died for the country.
Hapo kwenye red marehemu haombewi mtu anajiombea mwenyewe akiwa hai.Ulichokiandika hapa siyo mahali pake nafikiri ungesubiri kutoa machungu yako kwa sasa tuungane na ndugu na jamaa kwa ajili ya kuwaombea hawa hata wewe kuna mabaya unayoyafanya. Hawa walienda kuwakilisha taifa na wala hawakutumwa na wanasiasa. SIYO KILA KITU SIASA NDUGU