what do u want it for?hawana msaada or time na mtu mpaka muda wa kampeni au kama unataka kuwapromote,anyway kuna kitabu cha list ya wabunge na namba zao za simu,nilikuwa nacho cha mwaka juzi,
nenda ofisi za bunge utapata cha zamani sidhani kama kipya kimeshatoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.