sikujua moze
Member
- Nov 15, 2011
- 14
- 1
makamanda watatu hawa wasiachwe dr. slaa, lema, bila kumsahau Tundu lisu
Wana CDM ungependa majina yapi kutoka chama cha CHADEMA waingie kwenye mchakato wa kurekebisha katiba.
Mi ningeanza na
1:Babu Prof Shivji
2:T.Lisu na
3:Halima Mdee
Wana CDM ungependa majina yapi kutoka chama cha CHADEMA waingie kwenye mchakato wa kurekebisha katiba.
Mi ningeanza na
1:J.Mnyika
2:T.Lisu na
3:V.nyerere
Nimegundua humu ndani kuna majuha wengi sana,wote waliopendekeza majina ya wabunge wanafikiria kwa masaburi,isomen sheria kwanza mjue inataka nn.
Isomeni basi sheria yenyewe basi kuna watu ambao kutokana na nafasi zao za sasa hawaruhusiwi kuwa wajumbe wa hiyo tume.
teh! teh! teh! kwi1 kwi! kwi! Mh. J. Mbilinyi a.k.a Sugu,John Shibuda
Wana CDM ungependa majina yapi kutoka chama cha Nimegundua humu ndani kuna majuha wengi sana,wote waliopendekeza majina ya wabunge wanafikiria kwa masaburi,isomen sheria kwanza mjue inataka nn.
Marekebisho ya sheria tuliyoletewa hapa Zanzibar yanaonyesha kwamba hata wabunge sasa wanaruhusiwa. Huko bara bado mnakatazwa?
Asha
wana cdm ungependa majina yapi kutoka chama cha chadema waingie kwenye mchakato wa kurekebisha katiba.
Mi ningeanza na
1:j.mnyika
2:t.lisu na
3:v.nyerere