Majina matatu tume ya kurekebisha katiba toka CHADEMA, nani awemo?

habarini za asubuhi.

mimi napendekeza majina yafuatayo

1. Mnyika
2.Lissu
3.Dr K. Mkumbo
 
Tundu lisu, Mabere Marando, Prof. Abdalla Safari.
Mkuu una mawazo kama yangu kabisaa. Nashanga Mabere Marando watu wamekuwa wakimsahau katika masuala haya ambayo kimsingi ni ya kisheria.
 
Wana CDM ungependa majina yapi kutoka chama cha CHADEMA waingie kwenye mchakato wa kurekebisha katiba.
Mi ningeanza na
1:J.Mnyika
2:T.Lisu na
3:V.nyerere

Acheni u-laymen. Wabunge hawaruhusiwi kuwemo kwenye kamati kwa kuwa watakuwa wajumbe kwenye Bunge la Katiba. Watanzania tusome kabla ya kukurupukia mada.
 
kwanini Prof.Shivji.ni mwanachama wa CDM? au ili uteuliwe na CDM Sifa kuu ni ipi? Mnaofahamu tujuzeni basi.
 
Kuna mwanamama mmoja jina simjui alikuwa anazungumzia mambo ya Katiba Jina simjui na kuna siku Mwanakijiji alituwekea Video yake akiwa ITV akizungumzia Uhuru uliobinafishwa. Ningependelea mana kijiji atuwekee tena ile Video ilituweze kumuona tena na vile vile ningependelea huyo mama awemo katika hiyo kamati
 
Nampendekeza
1. Tundu wa Lissu
2. Dr. Slaa
3. Shivji
Wote hawa wamedhirisha kuwa na mapenzi ya dhati juu kuwepo kwa katiba mpya.
 
kwa listi hii :safari, marando, lissu, mnyika, nyerere, mkumbo, shivji, mdee---etc------mbona uwezo wa kutaja nani awepo au asiwepo inanipa kigugumizi?
 
eeeeh nimekupka yule kocha wa chelsea si hana kazi anaweza kutufaa sana
 
Back
Top Bottom