Kwani ni lazima awwe mwanachama, au awe kichwa?swali: prof. Issa Shivji ni mwanachama wa CHADEMA?
kweli mkuu, lkn heading ndo kidogo kimenichanganya kwa sababu iko specific.Kwani ni lazima awwe mwanachama, au awe kichwa?
Kwa vile ni kazi ya serikali mwajiri atampa likizo ay secondmentHata mimi naunga mkono hoja Dr. Kitila ni mtu makini sana ninamkubali hofu yangu kama atapata baraka ya muajiri wake kupendekezwa kupitia CDM.
Pia ni vema mtui akapendekeza kwa kupeleka maoni pale ofisi za chadema kama kama kamati kuu ilipopendekeza siyo kuishia hapa JF.
- Tundu Lissu- Mwanasheria mahiri ambaye amechangia kwa asilimia kubwa sana katika mchakato huu tulionao wa Katiba mpya.
- Prof.Baregu Mwesiga- Gwiji wa maswala ya Sayansi ya Siasa(Political Science).
- Prof. Abdullah Safari- Gwiji wa maswala ya Sheria na vilevile ataondoa zana ya udini ndani ya CDM kwamba ni chama cha Wachagga na Wakristo tu.
Hii listi itafaa sana kuiwakilisha CHADEMA kwenye hiyo Tume ya Rais ya Kuunda Katiba mpya ya JMT.
Kwa mujibu wa sheria,wabunge, wajumbe wa baraza la wawakilishi na madiwani hawawezi kuteuliwa kuwa wajumbe wa tume. Ila wanasiasa wengine wote ambao hawana hivyo vyeo wanaweza kuteuliwa. Hivyo, majina kama ya Lissu, Mnyika, Mdee, tayari sheria imewaweka kando.
- Tundu Lissu- Mwanasheria mahiri ambaye amechangia kwa asilimia kubwa sana katika mchakato huu tulionao wa Katiba mpya.
- Prof.Baregu Mwesiga- Gwiji wa maswala ya Sayansi ya Siasa(Political Science).
- Prof. Abdullah Safari- Gwiji wa maswala ya Sheria na vilevile ataondoa zana ya udini ndani ya CDM kwamba ni chama cha Wachagga na Wakristo tu.
Hii listi itafaa sana kuiwakilisha CHADEMA kwenye hiyo Tume ya Rais ya Kuunda Katiba mpya ya JMT.
Wana CDM ungependa majina yapi kutoka chama cha CHADEMA waingie kwenye mchakato wa kurekebisha katiba.
Mi ningeanza na
1:J.Mnyika
2:T.Lisu na
3:V.nyerere
good, naunga mkono hoja