hell nooooopia bukoba mjini ccm amechukua
Lowasa sijui jimbo gani!
Babati mjini Kisyeri Werema Chambiri kamwaga mgombea wa Chadema.
Kyela
Rungwe Mashariki
Rungwe Magharibi
Ileje
Acha kutudanganya majimbo mawili ya Rungwe hakukua na uchaguzi wa ubunge kwani walijipitisha bila kupingwa . Ila Rungwe Mashaliki karibu vituo vyote Dr slaa ameongoza kwa mbali sana dhidi ya jk.
ebwana n'juze sheka yupi?Sasa nani awe fair?? wenye chama chao akina Sheka na Malaria Sugu kwani wamekatazwa kufungua thread?