Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 758
hivi alipitaje ubunge.?? alichaguliwa au aliteuliwa...ni chama gani huyo jamaa. Ama kweli walioanzisha shule waliona mbali.!..Nini.??.eti hakuna mtu maarufu Tz kama huyo sijui nani,."profesa""!!??? maji yepi mpiga ramli.?? ana maanisha..mi ndo kwanza jana nimemuona, nlikuwa namckia tu...maskini ya Mungu bunge letu..!!
Moja ya sababu zinazoiuwa CCM ndio hizo wabunge wake hawana lolote na akili za kupiga handle.