Kisiya Jr.
Senior Member
- Nov 21, 2011
- 102
- 29
Wajameni mwenzenu huyu mama enu mdogo kusema kweli nampenda sana,wakati tulipokua tunaanza mwaka jana mwezi kama huu nilikua natamani mda wote nile raha tu.
Ila ana tatizo la kutoa majimaji ya daah... Kwa uzoefu wangu unapozidi kula tunda hasa kama umevaa helimeti maji yanakauka haraka sana. Lakini hapa ni tofauti,unapozidi kula ndo hayakauki hadi mwisho
Naombeni ushauri na msaada hasa akina mama mnipe uzoefu wenu,maana karibia nafanya maamuzi magumu hali ikiendelea kuwa tete.
Ila ana tatizo la kutoa majimaji ya daah... Kwa uzoefu wangu unapozidi kula tunda hasa kama umevaa helimeti maji yanakauka haraka sana. Lakini hapa ni tofauti,unapozidi kula ndo hayakauki hadi mwisho
Naombeni ushauri na msaada hasa akina mama mnipe uzoefu wenu,maana karibia nafanya maamuzi magumu hali ikiendelea kuwa tete.