Sorry bt nashukuru pia mkuu. Nayauza kwa bei ya 65000 mpk 95000. KaribuSijaelewa kama unauza au umetuwekea picha tuone? Kama unauza, basi fanya liwe tangazo.
Sasa wewe unauza jiko la mkaa 95000, alafu hausemi lina nini cha ziada kulinganisha na mengine unategemea utauza kweli?Sorry bt nashukuru pia mkuu. Nayauza kwa bei ya 65000 mpk 95000. Karibu
kashaeleza mbona.Maybe Kwa sababu kayapaki kwenye mabox,,,alipaswa kuyasemea cha ziada mtumiaji atafaidika nacho,,hususani how yana serve mkaa
Hiyo kaedit baada ya kusoma hiyo post.kashaeleza mbona.
yanasevu mkaa kwa asilimia 50
ndo cha ziada nadhani
Alfu 65,000/= Au Alfu 6,500/= angalia ulichoandika iko sahihi au?Sorry bt nashukuru pia mkuu. Nayauza kwa bei ya 65000 mpk 95000. Karibu
Iko sahihi kbsa mkuuAlfu 65,000/= Au Alfu 6,500/= angalia ulichoandika iko sahihi au?